Wake kwa waume naomba tujadili hili...

Mahondaw

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
62,009
156,360
Juzi nilikua hospitali.. Katika pitapita huku nakule kwa shida zangu hapo nilishangazwa sana na reaction ya mwanaume mmoja ambae mke wake amezaa mtoto mwingine wa kiume yani nilishangaa sio kidogo

Kuna baadhi ya wanaume ambao hutukana kunyanyasa au kupiga kabisa wake zao. Na wengine hudiriki kwenda nje kutafuta watoto wa jinsia fulani kisa tu mkewe amezaa jinsia moja tu ya watoto. hili ni kosa kubwa sana ewe mwanaume kaa utambue. You are the determinant factor ya jinsia ya mtoto na si mwanamke.
Waliosoma biology mtusaidie MUNGU anawaona,..ni kweli anayeweza sababisha mtoto wa kike au kiume ni mume maana yeye ni XY ila sisi ni XX..ila wanadai katik a izo tarehe eti kuna siku joto la mwanamke ikiwa sijui high au low ni rahisi kuua nguvu ya mbegu X ili Y ipate nguvu apatimane wakiume, vivohivo joto yaweza ua kwa haraka mbegu Y ili mtoto wa kike apatikane.
Pia wanasema hata nguvu za mbegu X na Y( za mume) zaeza sababisha mkeo akazaa Ke tupu au me tupu

Sasa nawashangaa wababa wanaopigaga wake zao kwa nini umenizalia mtoto wakike tu au kiume tu wakati wewe ndo ujiulize kwanini uliruhusu X itoke ikimbie speed, wewe ndo una udhaifu wa mbegu fulani. Yani moja kwa moja utajua kabisa huyu mume si kichwa bali ni mkia.. tena mkia wa mwanamke .
Kwa wanaofahamu zaidi haya masuala naomba mtupe elimu zaidi na tukapate jifunza zaidi.
Pia kama kuna vyakula vinavyosaidia kuongeza nguvu ya mbegu fulani naomba mtusaidie kutaja
Nakama kuna mazingira fulani yanaeza pelekea kupata jinsia fulani pia nivema mkatuelekeza.
Men,, just give us a break. vitu vingine mnasababisha wenyeweeeeeeeeeeeee heeeeeeeee!!!!!!
 
Biology yangu ya o-level inanikumbusha mwanaume ni XY, mwanamke ni XX. Kwenye uzazi mwanaume atatoa X au Y ikaungane na X ya mwanamke kutengeneza XY(mwanaume) au XX(Mwanamke). Hivyo ni kweli mwanaume ndio ana determine sex ya mtoto biologically.

Vile vile nakumbuka kuwa mbegu X inakaa muda mrefu kuliko Y ingawa Y iko faster kuliko X (kabla ferilization kutokea,yaani ikichelewa Y itakufa kwanza X itabaki kusubiri)hivyo chances za mtoto wa kike ni kubwa kuliko kupata wa kiume.
 
Office-Space-homies4.png
 

Attachments

  • upload_2017-2-27_12-2-57.jpeg
    upload_2017-2-27_12-2-57.jpeg
    7.8 KB · Views: 56
Biology yangu ya o-level inanikumbusha mwanaume ni XY, mwanamke ni XX. Kwenye uzazi mwanaume atatoa X au Y ikaungane na X ya mwanamke kutengeneza XY(mwanaume) au XX(Mwanamke). Hivyo ni kweli mwanaume ndio ana determine sex ya mtoto biologically.

Vile vile nakumbuka kuwa mbegu X inakaa muda mrefu kuliko Y (kabla ferilization kutokea,yaani ikichelewa Y itakufa kwanza X itabaki kusubiri)hivyo chances za mtoto wa kike ni kubwa kuliko kupata wa kiume.

It's a mathematical & biological game inayowahusu wote wawili. Mwanamke anapaswa kuzijua vyema siku zake, na amfundishe mume, ili waweze kulenga. Siyo jukumu la mmoja.
 
Tatizo kabla ya ndoa watu wanapoenda kwenye mafundisho ya ndoa huwa hawasikilizi kwa umakini au kuelewa,watoto kwa jinsi ninavyoamini na tulivyofundishwa wakati wa maandalizi ya ndoa ni zawadi kutoka kwa mungu,na mtoto ni mtoto tu awe wa kike au wa kiume,unachopaswa ni kumshukuru mungu kwa aliokupatia,hivi itakuwaje ukipiga kele unataka mtoto wa kiume ukapewa wa kiume halafu ovyo kabisa utamlaumu mkeo?Maana umetaka wa kiume na mungu kakupa ila kawa mzigo.La msingi ni kumuweka mungu mbele katika kila jambo na utaona maisha mazuri tu no matter ni watoto gani unao.Na pia kutoruhusu pressure za watu wa nje kukupangia maisha yako,kwani wengi wa watu wanapata pressure hata kutoka kwa wazazi unakuta mama anasema nataka mjukuu wa kiume sasa yeye ndie mungu wa kujua ni kiumbe gani kitazaliwa?
 
It's a mathematical & biological game inayowahusu wote wawili. Mwanamke anapaswa kuzijua vyema siku zake, na amfundishe mume, ili waweze kulenga. Siyo jukumu la mmoja.
Mwanamke huwezi kujizuia siku zako.. Labda kama kumwambia mwenzio juu ya mzunguko wako
 
Tabia hiyo nimeiona zaidi kanda ya ziwa!
Wanaume wenzetu wa pande hizo sijui tatizo huwa ni nini! labda elimu
 
It's a mathematical & biological game inayowahusu wote wawili. Mwanamke anapaswa kuzijua vyema siku zake, na amfundishe mume, ili waweze kulenga. Siyo jukumu la mmoja.
Kuna mwalimu wangu mmoja wa Biology o-level alituambia yeye alimzalisha mkewe watoto wa kiume hadi akaomba wa kike(inaweza kuwa kamba). Ila kwa maelezo yake yeye alimjua vizuri mkewe kwahio siku za kupiga ili Y isife alikuwa anazijua. Y iko faster kuliko X ingawa inakufa mapema.
 
Cha msingi n kumshukuru
Mungu kwa mtt alikupatia
Mtoto n mtoto awe wa kiume
Au wa kike huyo n wako
Na unafaa kushkuru sana
Hyo n zawad ya ndoa yenu
Na,ndo mafanikio ya kwny
Ndoa,

Kuna ambao wanatafta watoto miaka na miaka
Lakin hawajafanikiwa

So binadam tunafaa kumshukuru mungu
Kwa yule yoyote alikupatia
 
Juzi nilikua hospitali.. Katika pitapita huku nakule kwa shida zangu hapo nilishangazwa sana na reaction ya mwanaume mmoja ambae mke wake amezaa mtoto mwingine wa kiume yani nilishangaa sio kidogo

Kuna baadhi ya wanaume ambao hutukana kunyanyasa au kupiga kabisa wake zao. Na wengine hudiriki kwenda nje kutafuta watoto wa jinsia fulani kisa tu mkewe amezaa jinsia moja tu ya watoto. hili ni kosa kubwa sana ewe mwanaume kaa utambue. You are the determinant factor ya jinsia ya mtoto na si mwanamke.
Waliosoma biology mtusaidie MUNGU anawaona,..ni kweli anayeweza sababisha mtoto wa kike au kiume ni mume maana yeye ni XY ila sisi ni XX..ila wanadai katik a izo tarehe eti kuna siku joto la mwanamke ikiwa sijui high au low ni rahisi kuua nguvu ya mbegu X ili Y ipate nguvu apatimane wakiume, vivohivo joto yaweza ua kwa haraka mbegu Y ili mtoto wa kike apatikane.
Pia wanasema hata nguvu za mbegu X na Y( za mume) zaeza sababisha mkeo akazaa Ke tupu au me tupu

Sasa nawashangaa wababa wanaopigaga wake zao kwa nini umenizalia mtoto wakike tu au kiume tu wakati wewe ndo ujiulize kwanini uliruhusu X itoke ikimbie speed, wewe ndo una udhaifu wa mbegu fulani. Yani moja kwa moja utajua kabisa huyu mume si kichwa bali ni mkia.. tena mkia wa mwanamke .
Kwa wanaofahamu zaidi haya masuala naomba mtupe elimu zaidi na tukapate jifunza zaidi.
Pia kama kuna vyakula vinavyosaidia kuongeza nguvu ya mbegu fulani naomba mtusaidie kutaja
Nakama kuna mazingira fulani yanaeza pelekea kupata jinsia fulani pia nivema mkatuelekeza.
Men,, just give us a break. vitu vingine mnasababisha wenyeweeeeeeeeeeeee heeeeeeeee!!!!!!
Umekwenda hosp kwaajili ya matatizo yako?
Gafla kuna mwanaume akawa anafanya reaction? (reaction gani wakati majibu na vipimo vinakuwa siri ya mgonjwa na daktari? Uliyajuaje yote hayo?)
mahondaw Pole sana, Usimlaumu jamaa sana, wanaume tukihitaji mtoto wa kiume huwa hatuambiliki
 
Siku zote huwa namuomba Mungu mke wangu ajifungue salama tu, iwe me au ke yote sawa. Vile vile huwa namuomba Mungu amjaalie mke wangu asijifungue ZZ tu.
Hayo ya XX, XY au YZ mi sijui
 
Nikiamini kwenye ishu ya kupata mtoto Mungu ana-play role kubwa sana hapo.....Ila maadam ametupa akili na maarifa basi turude katika akili zetu na maarifa katika kupata mtoto wa jinsia tuitakayo....

POSSIBILBILTY YA KUPATA MTOTO WA KIUME:
-Kama Mama ana mzungukuo ule wa siku 28 kutoka hedhi na hedhi hesabu siku 4 za hedhi + siku 10= 14 so ukihifadhi nguvu katika siku zingine zote then ukaja piga mama siku hiyo ya 14 ,15 na 16 kuna possibility kubwa sana ya kupata mtoto wa kiume....Hapa ni mahesabu ya ute plus Y chromosome.

POSSIBILITY YA KUPATA MTOTO WA KIKE:
-Mama mwenye mzungukuo wa wa siku 28 hapa unachukua siku 4 za hedhi + siku 7 =11 so hapa hautajiki kuhifadhi nguvu mingi kama kwa mtoto wa kiume so anza kupiga mama kuanzia siku hiyo ya 11, 12, 13 utakuwa na uwezekano mkubwa sana kupata mtoto kwa kike.....
 
Biology yangu ya o-level inanikumbusha mwanaume ni XY, mwanamke ni XX. Kwenye uzazi mwanaume atatoa X au Y ikaungane na X ya mwanamke kutengeneza XY(mwanaume) au XX(Mwanamke). Hivyo ni kweli mwanaume ndio ana determine sex ya mtoto biologically.

Vile vile nakumbuka kuwa mbegu X inakaa muda mrefu kuliko Y ingawa Y iko faster kuliko X (kabla ferilization kutokea,yaani ikichelewa Y itakufa kwanza X itabaki kusubiri)hivyo chances za mtoto wa kike ni kubwa kuliko kupata wa kiume.
Umeeleza vema sana!!!
 
Binadamu alikuwa nyani bado tu mnaamini ktk x na y...acheni kuwa wavivu wa kufikiria..wazungu watawatawala sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom