Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
“Tangu 2013 nilikuwa sijaenda America mpaka 2021 sababu nilidhamiria kujijenga na kufanya vizuri zaidi kwenye local market (Tanzania) wakati mimi naweka nguvu zaidi kutaka kujijenga zaidi local, wasanii wengi wa Tanzania wanataka kwenda international, na mimi huko ndio nyumbani!” -Wakazi
Hivi huyu wakazi....ukiachana na kujimwambafai ni hit song gan anayo?
Hivi huyu wakazi....ukiachana na kujimwambafai ni hit song gan anayo?