mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Kwa nyakati tofauti Wakazi wa Arumeru Mashariki wameskitishwa kwa Watuhumiwa wa Mauaji ya Mwenyekiti wa CHADEMA kutoroka polisi,mzee mmoja kada maarufu wa CCM aliyejitambulisha kwa jina moja la Maeda akitokea Magadirisho amelaani kitendo cha polisi kuwaachia watuhumiwa na baadae kutangaza kuwa wametoroka,amesema kitendo hicho kinakiweka chama cha mapinduzi mahala pabaya maana toka mwanzo wauaji walilalamikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM,na nivizuri wakamatwe na wahukumiwe mara moja maana polisi wanajua walipo alisema
Juhudu za kumtafuta mbunge wa jimbo hilo Joshua Nassari hazikuzaa matunda baada ya simu yake kuita bila kupokelewa
Juhudu za kumtafuta mbunge wa jimbo hilo Joshua Nassari hazikuzaa matunda baada ya simu yake kuita bila kupokelewa