A
Anonymous
Guest
Habari
Samahani naomba utusaidie kufikisha hii taarifa kwa wahusika.
Wakazi wa Ubungo kibo tunapata changamoto kwenye kuvuka barabara na magari yetu, kunakua na gombania. Goli kwamba atakaeweza kuforce kupita ndo huyo huyo.
Kwenye makutano ya barabara mwanzo palikuwa na mataa lakini saivi wameyatoa.
Hakuna traffic wala mtu wa kusaidia kuongoza magari.
Traffic wanakaa kwenye kituo cha mwendokasi wanasubiri apite. Afu wanakusimamisha kwamba umepita bila ruhusa.
Jaman hii ni kero kwetu tunaomba mamlaka itusaidie
Samahani naomba utusaidie kufikisha hii taarifa kwa wahusika.
Wakazi wa Ubungo kibo tunapata changamoto kwenye kuvuka barabara na magari yetu, kunakua na gombania. Goli kwamba atakaeweza kuforce kupita ndo huyo huyo.
Kwenye makutano ya barabara mwanzo palikuwa na mataa lakini saivi wameyatoa.
Hakuna traffic wala mtu wa kusaidia kuongoza magari.
Traffic wanakaa kwenye kituo cha mwendokasi wanasubiri apite. Afu wanakusimamisha kwamba umepita bila ruhusa.
Jaman hii ni kero kwetu tunaomba mamlaka itusaidie