Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,214
- 42,087
Hahaha warombo watakosa wanawake maana watu warufiji watala sana maana warombo kazi ni kunywa pombe!Kama imewezekana kuwahamisha Wamasai kutoka Ngorongoro na kuwapeleka Handeni mkoani basi Hata Wandengereko wanaweza kuhamishiwa Rombo Kilimanjaro ambako kuna eneo kubwa liko Wazi
Kuwachanganya Wandengereko na Warombo kutasaidia pia kupunguza Unywaji wa Pombe za kienyeji Wilayani Rombo
Hali ya Rufiji kwa sasa ni mbaya sana
Naomba kuwasilisha
cc: Benjamin Netanyahu - Rau Madukani