A
Anonymous
Guest
Jamani eeee tusaidieni kupaza sauti Idara ya Maji hapa Mwanza imekuwa kero maana haijulikani ni mgawo wa maji au la!
Zaidi ya siku 4 hadi 5 hakuna maji Mtaa wa Bugarika na hakuna taarifa yoyote kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).
Zaidi ya siku 4 hadi 5 hakuna maji Mtaa wa Bugarika na hakuna taarifa yoyote kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA).