ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Nawakumbusha Watawala hasa wa awamu ya 6 kwamba hakuna Mtu anataka kulipa Kodi Kwa hiari ndio maana Duniani kote zimewekwa sheria Kali za kuhakikisha watu Wanalipa Kodi Kwa hiari na lazima.
Kenya hapo ni mfano mzuri,task force Yao imeundwa na watu wenye utaalamu wa mambo ya kijeshi Ili ku enforce watu walipe Kodi na Wala hatujawahi ona wafanyabiashara wakikimbia Nchi.
Hapa Tanzania tunachekeana na kuchekea wafanyabiashara na Wananchi ambao hawafai risiti Wala wafanyabiashara hawatoi risiti kisa visingizio kibao visivyo na Tija.
Mwisho Nchi haiwezi kwenda Kwa njia ya kubembelezana kwenye mambo ya msingi.
View: https://twitter.com/BD_Africa/status/1704095493847134216?t=i3QNrveZgGMmQ1pc-5q8Xw&s=19
My Take
Serikali rudisheni Task force ya TRA haraka sana ,watu hawalipi Kodi kabisa Kwa Sasa.
View: https://www.instagram.com/reel/CxiObt3qkFa/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Kenya hapo ni mfano mzuri,task force Yao imeundwa na watu wenye utaalamu wa mambo ya kijeshi Ili ku enforce watu walipe Kodi na Wala hatujawahi ona wafanyabiashara wakikimbia Nchi.
Hapa Tanzania tunachekeana na kuchekea wafanyabiashara na Wananchi ambao hawafai risiti Wala wafanyabiashara hawatoi risiti kisa visingizio kibao visivyo na Tija.
Mwisho Nchi haiwezi kwenda Kwa njia ya kubembelezana kwenye mambo ya msingi.
View: https://twitter.com/BD_Africa/status/1704095493847134216?t=i3QNrveZgGMmQ1pc-5q8Xw&s=19
My Take
Serikali rudisheni Task force ya TRA haraka sana ,watu hawalipi Kodi kabisa Kwa Sasa.
View: https://www.instagram.com/reel/CxiObt3qkFa/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==