chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,998
- 20,647
Naona matangazo ya Taasisi za serikali yote akipewa Mrisho Mpoto,
Wasanii wengine wanalia njaa mtaani,muvi na muziki hauwalipi
Mpoto amehodhi matangazo yote na karibu shughuli zote za burudani katika hafla za serikali anazifanya yeye
Poleni wasanii mliokula vumbi wakati wa kampeni,na sasa baada ya uchaguzi mnaendelea kupigika
Wasanii wengine wanalia njaa mtaani,muvi na muziki hauwalipi
Mpoto amehodhi matangazo yote na karibu shughuli zote za burudani katika hafla za serikali anazifanya yeye
Poleni wasanii mliokula vumbi wakati wa kampeni,na sasa baada ya uchaguzi mnaendelea kupigika