benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,532
- 3,189
Imeandikwa unapokuwa na Warumi (Waroma), ishi na endana na tabia za Warumi.
Lakini pia imesemwa yeye apendaye amani wakati wa vita basi dalili zi wazi kuwa atakufa au kujeruhiwa mapema.
Kuna wale ambao leo wamebatizwa jina la "wahuni" ambao pengine hawakuwa wakionekana kuwa "wahuni" wakati wa BABA.
Kuna watu wanalalamika kufanyiwa "uhuni" wakati huu ambao pengine wao ndio walikuwa vinara wa kufanya "uhuni" kwa wengine wakati uliopita.
Swali ni je "Wahuni" wa "Wakati wa Baba" ni "Wahuni" walewale wa "Wakati wa Mama" ?
Je? Wahuni ni wale waliokuwa wanatembelea VI-EITE (V80) kama asemavyo SLOSLO au bado wanatembelea VI-EITE (V80),
Yote kwa yote wahuni sio watu wazuri masela, tulinde nyumba zetu wahuni wasije wakapita na TV zetu.
Lakini pia imesemwa yeye apendaye amani wakati wa vita basi dalili zi wazi kuwa atakufa au kujeruhiwa mapema.
Kuna wale ambao leo wamebatizwa jina la "wahuni" ambao pengine hawakuwa wakionekana kuwa "wahuni" wakati wa BABA.
Kuna watu wanalalamika kufanyiwa "uhuni" wakati huu ambao pengine wao ndio walikuwa vinara wa kufanya "uhuni" kwa wengine wakati uliopita.
Swali ni je "Wahuni" wa "Wakati wa Baba" ni "Wahuni" walewale wa "Wakati wa Mama" ?
Je? Wahuni ni wale waliokuwa wanatembelea VI-EITE (V80) kama asemavyo SLOSLO au bado wanatembelea VI-EITE (V80),
Yote kwa yote wahuni sio watu wazuri masela, tulinde nyumba zetu wahuni wasije wakapita na TV zetu.