Wakati umefika kuigawa CRDB Bank

Wakati umefika kuigawa CRDB Bank

Tatizo mjadala umehama kwenye fact na kuwa wa majungu na hisia; mara ukabila mara lile. Kiujumla hata hawa Nmb ambao wameamua kutumia huu uzi kujinafasi wana matatizo kibao, banking sector ni mbovu hasa kwa local banks. Kwa benki zenye asili ya nje zina uafadhali. Crdb walianza vizuri sana ila kuna mahali walitia tembo maji, nmekuwa mteja wao for more than 20yrs. Wingi wa watu usiyoakisiwa na tecknolojia umeifanya bank kuwa na mirundikano ya ya wateja. Pia wafanyakazi wamekuwa na kibri, hawana lugha nzuri na hawajali kabisa. Niliwahi kuwa kawe siku mmoja, yule dada yule karibu nmchape konde; ana kibri sana. Nmb nisiwaseme, nmekuwa pia mteja wenu for almost 10yrs now, hakuna jipya cha zaidi ya crdb. Mna Watu weengi kwenye branch ambao wanakaa tu bila kuwajibika. Kwa lugha mbovu mmepunguza kidogo siku hizi
 
Hello Freelancer,
Huduma hiyo ipo kama kawaida, karibu tukuwezeshe uendelee kufaidi ulimwengu wa kibenki kupitia kiganjanni mwako.
Karibu sana
Kwaiyo mnazunguka mbuyu sio !?
CRDB Bank Bank Bora na salama kwa wenye maono na wafanya biashara wa kweli sio Vikoba!
 
Hii bank kwa kweli ina huduma mbovu sana. Juzi juzi nimejaribu kufungua account pale, kwanza wana fomu nyingi na complications zisizoisha. Siku 3 nazungushwa tu, nikaenda NMB ndani ya nusu saa nimemaliza.

Na ukishafungua account na hawa CRDB bado kuna matatizo mengi sana unakumbana nayo na account yako na huwa wanakuwa hawana msaada sana. Nasema hayo kwa sababu tayari nina account nyingine pale na ni kama nimeikacha. Hata ukiwa pale tu utaona idadi kubwa ya wateja wao wanaokuja na kuondoka bila matatizo yao kutatuliwa.

Naona hii benki inaenda au inastahili kugawanywa kama NBC ya wakati ule iliyozaa NMB. Tunaambiwa tupende vya kwetu ila inaonyesha hadi aje mzungu ndiyo huwa tunakaa sawa na kutoa huduma zinazoeleweka.

Najua hili linaweza lisitokee kwenye utawala wa Magufuli kwa sababu sera na mitazamo yake ni tofauti sana na Mkapa ila hii benki inabidi imulikwe.

Na samahani kama kuna nitakayemkwaza ila kuna element ka ukabila pia kwenye ile benki. Naona kama wafanyakazi wengi katika matawi niliyowahi kwenda ni watu wa kutoka sehemu moja!! Sijui kama hilo litakauwa linachangia matatizo waliyonayo ila niliondoka nikijiuliza maswali mengi ambayo sijapata majibu. Kwanza inawezekana wanachukua fomu za watu ambao mwisho wa siku wanaamua kutoendelea na application au hata kufanya makusudi zangu wanaweza wakawa wanakatisha tamaa watu wenye account halafu wanatumia hizo account au information za watu kuchukulia mikopo bila wateja wenyewe kujua? Je hili linawezekana? Nimefikia kujiuliza maswali kama hayo kwa sababu ufanisi wao ni wa mashaka sana.

Kwanini mnahangaika na haya mabenki makubwa ambayo yamezidiwa na wateja mpaka wanatoa Huduma Mbovu ivo.

Kuna bank moja mpya inaitwa GTBank ipo karibu na morroco, nimejiunga na hao jamaa mwezi wanne lakini nikajuta kwanini wasingekuepo mda wote. Wana customer care nzuri mno

Bank zipo zaidi ya 50 so ni wewe mwenyewe kuchagua Bank ambayo watakupa attention ambayo unastahili
 
Huyu mzungu wa NMB kaiboresha sana benki hiyo, kutoka kwenye benki iliyokuwa na huduma duni , foleni kutoka hapa na masaki, majengo mabovu lakini sas hivi hakuna foleni, majengo yameboreshwa ni ya kisasa kabisa na wanafanya open office systerm ambapo kuanzia meneja mpaka watendaji hawajajifungia mavyumbani wapo wazi wanaonekana jinsi wanavyo fanya kazi. Hakuna kutegea. Wamejiunga na VISA hivyo fedha unachukulia popote, wana ATM za kutosha na wanafungua matawi kila mahali, huku magari yao ya mobile bank yaizunguka vijijini. Bank zingine zikae chonjo
Nimemkubali sana, kapambana.
 
ni kweli benk haifai kabisa hii, juzi nilikua ubungo branch saa mbili na nusu wanafungua mi ni mtu wa tatu cha ajabu nilitoka baada ya saa moja, teller mmoja wengine wanafanya mambo yao hawtoi huduma basi ni kero tupu
 
juzi nilienda na dogo kufungua account sikuamini jinsi gani walivyokuwa fasta aiseee nilitumia lisaa limoja tu tena mda mwingi nilitumia kujaza form ila account ilifunguliwa na kadi akapewa ....big up sana crdb
 
Lile tawi lao la Quality plaza wanawaibia sana wateja kitengo cha mikopo, usipofuatilia makato yako yanayowasilishwa kila mwezi kutoka kwa mwajiri wako utakuta installment zingine hawaingizi, mwisho wa siku wewe unajua umemaliza deni ukienda wanakwambia miezi fulani pesa haikuletwa, ukidai stetiment wanakuzungusha, wanakwambia mpaka waombe kibali makao makuu, utazungushwa sana, hakuna msaada kwa wateja.
 
tawi lipi lina watoto wazuri nataka nikajimegee
 
Kuna m
Mkuu mfikishieni salam huyo mkurugenzi
Pia napenda kutoa pongezi kwa tawi lenu la Mwanhuzi wilaya ya Meatu.

Kuna Jamaa pale ni bank Teller, mwembamba na mweupe sana.

Aisee, nina accounts benk 3, NMB, CRDB na Diamond Trust.

Lkn ktk bank zote na Branch nilizowahi pata huduma sijawahi pata customer care nzuri kama ya yule jamaa.

Kwanza jamaa anaioenda kazi yake, anasikiliza kila mtu.

Hachoki kukuhangaikia kutatua shida yako.

Kiukweli nilitokea kupenda utendaji kazi wake.

Jina lake silifahamu ila kila mwezi naonaga anashinda kuwa mfanyakazi bora.

Ni mweupe sana na mwembamba.

Salam zimfikiee.
Pia NMB Clock Tower, Arusha pia meneja ni bora, utendaji wake na namna anavyokuhudumia huku akiwa na mishe nyingine anafanya bila kupoteza muda. Tunahitaji watu kama hawa… Simple and Smart!
 
Walichonifanyia sina hamu nao.
Hii bank kwa kweli ina huduma mbovu sana. Juzi juzi nimejaribu kufungua account pale, kwanza wana fomu nyingi na complications zisizoisha. Siku 3 nazungushwa tu, nikaenda NMB ndani ya nusu saa nimemaliza.

Na ukishafungua account na hawa CRDB bado kuna matatizo mengi sana unakumbana nayo na account yako na huwa wanakuwa hawana msaada sana. Nasema hayo kwa sababu tayari nina account nyingine pale na ni kama nimeikacha. Hata ukiwa pale tu utaona idadi kubwa ya wateja wao wanaokuja na kuondoka bila matatizo yao kutatuliwa.

Naona hii benki inaenda au inastahili kugawanywa kama NBC ya wakati ule iliyozaa NMB. Tunaambiwa tupende vya kwetu ila inaonyesha hadi aje mzungu ndiyo huwa tunakaa sawa na kutoa huduma zinazoeleweka.

Najua hili linaweza lisitokee kwenye utawala wa Magufuli kwa sababu sera na mitazamo yake ni tofauti sana na Mkapa ila hii benki inabidi imulikwe.

Na samahani kama kuna nitakayemkwaza ila kuna element ka ukabila pia kwenye ile benki. Naona kama wafanyakazi wengi katika matawi niliyowahi kwenda ni watu wa kutoka sehemu moja!! Sijui kama hilo litakauwa linachangia matatizo waliyonayo ila niliondoka nikijiuliza maswali mengi ambayo sijapata majibu. Kwanza inawezekana wanachukua fomu za watu ambao mwisho wa siku wanaamua kutoendelea na application au hata kufanya makusudi zangu wanaweza wakawa wanakatisha tamaa watu wenye account halafu wanatumia hizo account au information za watu kuchukulia mikopo bila wateja wenyewe kujua? Je hili linawezekana? Nimefikia kujiuliza maswali kama hayo kwa sababu ufanisi wao ni wa mashaka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilienda bank ya crdb tawi la buzuruga. Atm zilikua hazifanyi kazi, tulikaa pale kwa muda kama saa nzima. Kwa pembeni kwenye parking ya magari yao tuliona jamaa mmoja hivi mrefu mwembamba, sijui ndio manager au mfanyakazi wa kawaida. Tulimuiliza tatizo nini, tupo muda mrefu hapa atm hazitoi fedha?

Alitujibu kwa nyodo kubabake akaendelea kuongea kwa simu yake.
Wakuu tuwe na busara kutaja majina au wajihi wa mtu siyo busara..Nimekuwa na mtazamo tofauti kidogo kuhusu watendaji na watoa huduma mbalimbali, baada ya kuanza kufanya biashara na kudeal na watu aisee kuna watu ni kero wanapotaka huduma..usipokuwa na uvumilivu unaweza pigana.. nashukuru somo la customer service limekuwa msaada mkubwa kudeal na hawa raia.. Point yangu tusiwalaumu tu pia tuangalue na mapungufu yetu..
 
Back
Top Bottom