Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,037
- 71,272
bado kuna watu wengine wanataka kusema!!!???
Mkuuu kila mwanadamu.,.ana....
bado kuna watu wengine wanataka kusema!!!???
Ukiona ivi ujue uyo rais hana MKE ,,nakama anaye ndo hawa wanawake wasojua NINI mume anaitaji.Kuna rais wa nchi moja ya Africa ametembea na mawaziri wake wawili wa kike, waziri wa afya na waziri wa utumishi bora. Inasemekana waziri wa utumishi bora sasa hivi ana ujauzito wa kigogo huyo.
kwahiyo akienda kule ndio dawa zinapatikana !! kule wanagawiwa dawa!!Hizo sifa ndio zinatupa madawa ya hospitali au ndio zinatuondolea huu msoto tunaokumbana nao?
Sisi tunamnanga kwa sababu tunajua akienda kwenye vikao vikubwa anaweza kutoa tamko la aibu dunia nzima ikatudharau
In recent times, President Magufuli of Tanzania has wisely decided not to attend the pointless backslapping sessions because he sees them for what they are: i.e. a total waste of important public resources in money and time.
Now I know that we cannot expect Peter Mutharika to think as astutely as Magufuli given Malawi’s penchant for abusing resources. This is precisely why we do not need the UN to be encouraging him into thinking that he just has to attend the Assembly as he might miss some accolades on the “end Child Marriages” campaign.
“We cannot harvest the best potential unless we stop early marriage,” said President Mutharika at the event. “Every child must be given empowerment and wings of hope to fly very high. We must invest more in our young people.”
What a load!
Well, Mr President, we cannot harvest Malawi’s best potential unless we solve the energy problems. I should have you know, sir, that Every Malawian, young and old, must be given the empowerment and the wings to fly very high indeed, and that must start with the basic necessities.
Source: Z Allan Ntata’s Uncommon Sense: GIVE ME POWER! NOW! - The Maravi Post
bavicha ni bendera fata upepo sasahivi wanamshabikia nyalandu kuliko mwenyekiti(flytokia)Wanamnanga ni ma chadema tu, tuliowengi tunamsapoti rais wetu.
Hao wanafki waliimba kwa miaka kibao kuwa jk anasafiri sana, kaja huyu wa leo hasafiri kabisa bado yanalalamika tena rais hasafiri sana - hv bavicha ni nani aliyewaloga?!
Wewe mama koma kabisa kunizoea, tafuta mwanaume mwingine wa kumzoea sio mimiBaba yako amewahi kufanya mangapi ya aibu na hatujakusikia ukija humu kumnanga..Ila leo kwa rais ujifanye wewe unajua zaidi
Hii itakuwa haijafika kwa Mange ....................!!Kuna rais wa nchi moja ya Africa ametembea na mawaziri wake wawili wa kike, waziri wa afya na waziri wa utumishi bora. Inasemekana waziri wa utumishi bora sasa hivi ana ujauzito wa kigogo huyo.
Muulize kaitoa wapi tofauti na kwa MangeHii itakuwa haijafika kwa Mange ....................!!
Wewe mama koma kabisa kunizoea, tafuta mwanaume mwingine wa kumzoea sio mimi
Mimi nimeoa tafuta mwanaume mwingine mamaHivi kumbe na wewe ni mwanaume heeee! sorry aisee...ILA kwenye kukoma bado
TUNAJUA yeye haendi (SIO KWAMBA ANABANA..LUGHASHIDA)lakin mwakilishi na kundi lake wameenda.. AMEOKOA NINI?Kutoenda kwake kuna tija gani kwetu wananchi? stori kitaa ni kwamba hawezi kimombo ndo mana amechill tu
gafla tu wamesahau kuwa hata mbowe alimmimba vitu maalum wake!Ukiona ivi ujue uyo rais hana MKE ,,nakama anaye ndo hawa wanawake wasojua NINI mume anaitaji.
In all ,,Kua Rais hakumfanyi mwanamme aondokane na Uanamme wake ,,nisawa namwanamme ameoa lkn anachepuka ,,sasa kisa amekua Rais ndo asichepuke nandan hapati huduma nabado damu inachepuka ???
Kuchepuka alichepuka Bil Clinton wa USA tena huyu ilikua kufuru
Zuma wa S.Africa amechepuka.
Putin wa Urusi kachepuka ,,tena yeye ndo alizidiwa na penzi mpaka akafukuza MKE wake wandoa.
Kuchepuka nikuchepuka...MIMBA NIBARAKA ,,NAMTOTO NIBARAKA.
Mkuu kama rais angeenda na msafara wake matumuzi ya kawaida kabisa yasingepuangua TShs 500,000,000Kutoenda kwake kuna tija gani kwetu wananchi? stori kitaa ni kwamba hawezi kimombo ndo mana amechill tu