Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,937
Wewe ndio mgumu.Aiseee
Hii lugha ni ngumu sana aiseee...
Hata sijaelewa, pengine labda tatzo Mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata sijaelewa, pengine labda tatzo Mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lengo lako limetimia
Toba....[emoji87] [emoji87] [emoji87]Hayo ni maneno mapya
Hapo kwenye Stashahada ya kwanza ndo sijaelewa kabisa.Wakati nasoma Stashahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi.
Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatalishi. Hata vitu kama mdaki, diski mweko, mtaliga, kadi sakima na kadiwia/mkamimo havikuwepo kabisa.
Ila kwa sasa mambo yamebadilika. Wanafunzi wanakula vibanzi na sharubati, wanapata mishiko haraka kutoka kiotomotela...wanatumia kadihela, Aaah mambo Saaaafi!
Shughuli ni pale unapogundua hujui kingereza wala kiswahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nijaribu baadhi ya manenoWakati nasoma Stashahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi.
Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatalishi. Hata vitu kama mdaki, diski mweko, mtaliga, kadi sakima na kadiwia/mkamimo havikuwepo kabisa.
Ila kwa sasa mambo yamebadilika. Wanafunzi wanakula vibanzi na sharubati, wanapata mishiko haraka kutoka kiotomotela...wanatumia kadihela, Aaah mambo Saaaafi!
Shughuli ni pale unapogundua hujui kingereza wala kiswahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Angepeleka jukwaa la Lugha aiseeHujaelewa nini... Maana mimi sijaelewa kwanini ameleta humu MMU...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Mkuu Msaada tafadhali, lugha ngumu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]