SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
hawa vijana kwenye picha wamechoka sana...
ACT inateketea huko we uko kujadili yasiyokuhusu.
hawa vijana kwenye picha wamechoka sana...
Vp wewe umenona?hawa vijana kwenye picha wamechoka sana...
Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaa kweli siasa ni mchezo mchafu na wajinga ndo waliwao..... Tizama Komba alivyoamua kuwaua chadema kidesign tena katika kipindi hichi ambacho umaarufu wake umekua kwa asilimia 300...Mwandishi alimuuliza kijana kama anampango wa kumng'oa baba ake, kijana bila kumung'unya maneno amesema haiwezekani, ili kuwapoteza amezungumzia suala la kurithi madaraka...kurithi madaraka na kumng'oa mtu madarakani ni vitu viwili tofauti jaman au hakuelewa swali??!!
Halafu dogo anamwambia baba ake ajipange vizuri ili asijekung'olewa madarakani na chadema (huku chadema wakishangilia hili...this is too much(poor chadema))
Last ili kukamilisha azma yake ya kumsafisha baba ake ameweka wazi kuwa picha si za kweli na yeye yupo upande wa baba yake...
CCM OYEEEE!!!!
Kwa akili ndogo za chadema kamwe hawatoshika hatamu katika nchi hii
Vp wewe umenona?
ACT inateketea huko we uko kujadili yasiyokuhusu.
Acha uchonganishi. Mwisho wa siku utavuna aibu.
hawa vijana kwenye picha wamechoka sana...
mkuu. Vipi kile kichapo cha juzi, maumivu yameshaisha? Safari ijayo lazima wakucameruni kabisa..teh teh teh
chama makini cha ACT kITAKUKOMBOA WEWE, FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO WOTE[/QUOTEkitaikomboa mwandiga tu labda
Jamaa mbona hana sura ya kisiasa?
Komba akija hapa hachelewi kusema mwili ni wa kijana wake ila sura sio damu yake...ngoja nisubiri press comference!
Hivi hata huyu mvuta bangi naye ni potential kwa CHADEMA?
Huyu ni mamluki aliyetumwa mtaona baadae atakavyoigeuka chadema mtaniambia ataipa umaarufu wa muda chadema kisha atageuka na kuwa swira mwenye sumu kaliii.
Jamaa mbona hana sura ya kisiasa?