harfiz allyy
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 157
- 248
mtag smatUna wazo usipuuzwe!
mtag smatUna wazo usipuuzwe!
UHALISIA WA MAISHA UKO HIVI.Urafiki wa kutafutana kwa matukio ukatae , wakati wote chimbuko la urafiki wako na mtu litokane na utu na sio mtu akushobokee mambo yako yakiwa Super, Yesu mwenyewe aliwakemea wanafunzi wake waliokuwa wanamtafuta ili wapate mikate.
Wapo aina ya watu kwenye maisha watatakakuwa na ukaribu na wewe ukiwa na nafasi fulani au uwezo fulani watu wa aina hii tambua utawapoteza usipokuwa na hiyo nafasi au huo uwezo they are not loyal to you.
Wote hao ni mamlukiMarafiki status viewers.
Au wale waku add friend facebook
![]()
Kwakweli ... ndiomaana waswahili wanamsemo Roho mbaya mmetufundisha wenyeweUbinadamu ni kazi sana kuna wengine utawasaidia wakiwa na shida wakipata kidogo tu wanaanza dharau.