livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,925
- 5,528
Katika haya maisha kila mmoja wetu kajaliwa karama(kipaji) chake, yaweza kuwa ni Kucheza Mpira, kuimba, kutunga story na Pengine kuwa mchoraji.
Binafsi Mimi napenda sana uchoraji kwa namna yeyote ile japokuwa sijawa mzuri kihivyo katika fani hii, lkn najua wapo wajuvi wa hivi vitu ambao kupitia huu Uzi naweza kujifunza zaidi.
Kama wewe ni mkali wa hivi vitu tupia picha ulizochora tuone ubunifu na mautundu.
Kwa kuanzia
Binafsi Mimi napenda sana uchoraji kwa namna yeyote ile japokuwa sijawa mzuri kihivyo katika fani hii, lkn najua wapo wajuvi wa hivi vitu ambao kupitia huu Uzi naweza kujifunza zaidi.
Kama wewe ni mkali wa hivi vitu tupia picha ulizochora tuone ubunifu na mautundu.
Kwa kuanzia