Wakala wa Shetani

story nzuri lakini mwisho wake haujakidhi mahitaji kutoka mwanzo .mfano yule kiumbe wa ajabu ni nani? je hali yake ililudi kama zamani.pia mwisho wa mama yake kusekwa na mauaji aliyoyafanya ni upi.je jamii ya kinakusekwa ilibadilika kutka kwenye imani potofu.wale albino waliokuwa kwenye kambi ya mr brown waliokolewa au...umeniacha njia panda kwakweli..
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…