hadithi ni nzuri ila ungo mwingi mpaka mtunzi kajisahau alianzia wapi kudanganya maana ilivyoanza jitu la ajabu ni kusekwa ambae aliokotwa akiwa na mkono mmoja anadandia miti kama nyani sasa imeisha kusekwa huyo huyo mkuu wa sheria sijui wakati ilitakiwa ifikie ilipoanzia ndio atafute hiyo happy ending asante lkn next time mtunzi awe makini kujua tunasoma na kufuatilia uhalisia wa hadithi