Wakaka wamekuaje tena?

Wakaka wamekuaje tena?

asante kwa hili desa,na pole kwa hayo.
hebu nichek ,
hawa ndiyo kina uchebe type....watu wema tupo hapa tunakauka na jua tu...
 
...tatizo wanaume walio serious kuwaoa mnawaona hawafai na hao wasio kuwa serious ndo manawauna wanafaa...

We unaona kabsa mwanaume masaa 24 anatupia picha zaidi ya kumi status tena uku akirembua na kukaa pozi tofautitfauti uku akinesha thamana ya vtu alivyovyaa....afu unasema apa kuna mume..!

Wadada ukiona mwanaume anajipist post hovyohvyo kweny hii mitandao kuwa makini huyo sio mume bado akili haijafikia phase ya uanaume.
bonge la point ,waambie wajue shauri yao
 
Mwanamke akililia ndoa kimbia usigeuke nyuma, mwanamke akitoa hela yake afu baada ya siku mbili anaanza kununa pasi sababu kimbia huyo ni V8 injini kubwa atakukomba Kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom