Wakaka kueni n huruma

Wakaka kueni n huruma

sidhani kama yupo wa kukataa kula maini akakimbilia mfupa, sema na ww uliktuna na bahati mbaya siku hiyo labda kwao ni taboo kufanyiwa unayosema , wengine ungetokea dirishani maana ungezalimishwa kutelemka kilimanjaro mara tatu hadi nne mama la mama

Hahahahahaha yaan kuna wanaume wa ajab sana hujui tu
 
Last edited by a moderator:
duh!!!!! wanachovya chovya unamwambia ashuke kwani ni lazima
 
Jamani mapenzi n kuridhishana n wote kufurahi sasa wakaka wengi wenu mnachojua n kupanda mruke ruke mmwage volcano yenu mnashuka bila kujali mwanamke wako kama kafika au laa, kuwen n huruma jaman tuwe tunasaidiana kufikishana

Hivi akija mwanamke hapa ambae anafikishwa na mwenzake bila shida anaweza kuielewa hii mada yako??
 
mbona kila siku lawama tu...! Naomba nipate pm hata moja tu ili kuwadhihirisha kuwa bado kuna vijana wapo safi kwenye hyo sekta. Nashangaa hyo mwanaume asiyemfikisha mwanamke hivi kesho yake akikutana na hyo mwananke labda barabarani huwa anamungaliaje? Mimi kwa kweli ntazembea kote lakini si 6*6
 
Hivi akija mwanamke hapa ambae anafikishwa na mwenzake bila shida anaweza kuielewa hii mada yako??

Huyo anaefikishwa bila shida cna uhakika sana kama hajawah kutana n haya nayoyasema hapa aseeee,, pia yy asiponielewa wale wasiofikishwa watanielewa
 
Huyo anaefikishwa bila shida cna uhakika sana kama hajawah kutana n haya nayoyasema hapa aseeee,, pia yy asiponielewa wale wasiofikishwa watanielewa

Kwani!! kwama Mwenzako kajishughulisha akamwaga hizo unazosema volcano, kwa nini na wewe usijishughulishe ufikie huko unakokutaka? tatizo mnakuwa kama miti.
 
mbona kila siku lawama tu...! Naomba nipate pm hata moja tu ili kuwadhihirisha kuwa bado kuna vijana wapo safi kwenye hyo sekta. Nashangaa hyo mwanaume asiyemfikisha mwanamke hivi kesho yake akikutana na hyo mwananke labda barabarani huwa anamungaliaje? Mimi kwa kweli ntazembea kote lakini si 6*6

Hahahha hongera kama ww u miongon mwa mnaojua wajbu wenu kitandani nina was was n watu kama kina Sangarara yani unataka mm nijifikishe mwenyewe kilelen hahahhahaha
 
Last edited by a moderator:
Huyo anaefikishwa bila shida cna uhakika sana kama hajawah kutana n haya nayoyasema hapa aseeee,, pia yy asiponielewa wale wasiofikishwa watanielewa

Nilikuuliza aina ya swali ambalo ningekufanya uyaone makosa kwenye ulichokiandika,lakini nasikitika bado hujaona!!
 
Kwani!! kwama Mwenzako kajishughulisha akamwaga hizo unazosema volcano, kwa nini na wewe usijishughulishe ufikie huko unakokutaka? tatizo mnakuwa kama miti.

Hahahhahaha yani me nijifikishe kileleni?? Hahahhahahahha we nakueka kwenye kundi la wapanda mnaz n kushuka, nakuaje kama mti unajishughulisha ila mwanaume kaz yake aingize n kutoa khaaa inahusuu?
 
Jamani mapenzi n kuridhishana n wote kufurahi sasa wakaka wengi wenu mnachojua n kupanda mruke ruke mmwage volcano yenu mnashuka bila kujali mwanamke wako kama kafika au laa, kuwen n huruma jaman tuwe tunasaidiana kufikishana

hapa nahisi msaada unahitajika.mama la mama halijafikishwa kona ya kushoto
 
Nilikuuliza aina ya swali ambalo ningekufanya uyaone makosa kwenye ulichokiandika,lakini nasikitika bado hujaona!!

Me nimezungumzia wengi wao wenye hyo kitu maana asilimia kubwa ya watu wangu wa karbu(wadada) wanalalamika kutofikishwa, huyo anaefikishwa amebahatika
 
Fanyeni maandalizi ya kutosha bila kuisahau katerero.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom