Wakaka kueni n huruma

Wakaka kueni n huruma

^^
Mapenzi ni sayansi na sanaa, utundu na ujuzi hutofautiana mtu hadi mtu.
Sema hujampata wa kukuweka sawa mpaka ukosee mlango wa kutokea.
^^
 
^^
Mapenzi ni sayansi na sanaa, utundu na ujuzi hutofautiana mtu hadi mtu.
Sema hujampata wa kukuweka sawa mpaka ukosee mlango wa kutokea.
^^

Hapana ndgu, hii kitu kila nkikaa n marafik zangu wa aina tofauti lazma watalalamika hawafikishwi wanadai wenza wao wanajiangalia wao, hzo sanaa sasa ndo wengi wenu hamna unajituuma kwa mkaka mwisho wa cku anamaliza anakuacha ndo kwaaanza
 
Hapana ndgu, hii kitu kila nkikaa n marafik zangu wa aina tofauti lazma watalalamika hawafikishwi wanadai wenza wao wanajiangalia wao, hzo sanaa sasa ndo wengi wenu hamna unajituuma kwa mkaka mwisho wa cku anamaliza anakuacha ndo kwaaanza

^^
Kuna kitu kinaitwa pumzi ya mwanaume, ni kweli mara nyingi wanaume hutoa bao moja hulala, lakini baada ya goli moja safari ya hapo ndipo wanaume hutofautiana kulingana na pumzi.
Kuna mengi yanatokea ikiwemo ushirikiano wa mwanamke, maandalizi ya mwanamke, uteuzi wa maneno, na namna ya kutawala uwanja.
Naamini wapo wanaume wazuri wanaojua nini wafanye na wakati gani kumiliki stamina ya mchezo huu mtamu kuliko yote ktk ufikiri wa mwanadamu
^^
 
Hiyo Id yako unaonyesha una ujuzi wa kufa mtu kwenye 6 kwa 6.
Iweje umeshindwa kumwambia huyo uliye naye?
au wewe sio mkewe?
 
^^
Kuna kitu kinaitwa pumzi ya mwanaume, ni kweli mara nyingi wanaume hutoa bao moja hulala, lakini baada ya goli moja safari ya hapo ndipo wanaume hutofautiana kulingana na pumzi.
Kuna mengi yanatokea ikiwemo ushirikiano wa mwanamke, maandalizi ya mwanamke, uteuzi wa maneno, na namna ya kutawala uwanja.
Naamini wapo wanaume wazuri wanaojua nini wafanye na wakati gani kumiliki stamina ya mchezo huu mtamu kuliko yote ktk ufikiri wa mwanadamu
^^[/QUOT
Nakuunga mkono kaka, n kweli wapo wanaume wanaojijulia n kwenda sawa n mwenza wake, kuanzia maandaliz had kumaliza,,, ila kwa hao naozungumzia tatzo limekua kubwa sana asee, yan wanaume wengi hawajui kumuandaa mwanamke wanachojua wao n kufika n kupanda n kumaliza,, kuna wakati inabid mwanamke ujiandae mwenyewe kifikra uvute hisia zako weee ndo ujisaidie mwenyewe vinginevyo mhhh majanga
 
Hiyo Id yako unaonyesha una ujuzi wa kufa mtu kwenye 6 kwa 6.
Iweje umeshindwa kumwambia huyo uliye naye?
au wewe sio mkewe?

Wangu anayaweza vizuri asee, n me mwenyewe niko njema ila tatzo kwa sasa limekua kubwa sana wadogo zangu na dada zangu wanalalamika sana kuhusu wenza wao
 
Jamani siyo kwamba wanajiangalia wao tu ukweli ni kwamba kunawanaume hawajui kumwandaa mwanamke kabsa,chakufanya ni kumsaidia mnapokutana
 
Sometime wanatakaga sana kuendelea but mwili unagoma. So kubaki macho juu sometime inakubalika.
 
Jamani siyo kwamba wanajiangalia wao tu ukweli ni kwamba kunawanaume hawajui kumwandaa mwanamke kabsa,chakufanya ni kumsaidia mnapokutana

Hawasaidiki hao viumbe maana nadhan hua wanajiamin wako sahihi kabsaaaaa,,, yan wanaona kupanda n kumaliza kwao ndo ulijali
 
Sometime wanatakaga sana kuendelea but mwili unagoma. So kubaki macho juu sometime inakubalika.

Mhhhhhhh, jaman bas hata kama ndo mwili unagoma ajitahid hako kamoja ka kwanza amridhushe n mwenzie yaan kuna wanaume had wanatia uviv kabsaa, akiomba kidate unaanza kuwaza
 
Tatizo wanawake wengine mnajivunga mno mwambie mwenzio hakuna kukojoa had mm nikwambie na kujiutuma si kukata kiuno tu mpe maneno yenye kuhamasisha mambo yaendelee sasa unakuta binti ndo kakazana kukata kiuno utafikiri mota ye ndo anafikiri anapatia ile inataka kwenda kwa step yaan m na k viende sawa kwamana ya kuwa wakati wa kwenda kushoto lazima wote mwende siyo huyu kulia yule kushoto lazima kunammoja atadhulumika halafu weka mawazo pale,unakuta kidume kiko kazini wewe unaweza hela ya kuendea saloon
 
MAKINYA me nachoamin haya mambo yanatakiwa yaanzie kwenye maandaliz mazur,, kuna wanaume wanachojua n kufika kukuchojoa n kuingia lakin hata kupeana nusu saa ya maandalizi hawana akipanda hapo hata dk kumi nying ashamaliza yake hapo hata umwambie maneno gan matam ndo jinsi anavyoamin uanaume wake ulivo
 
Last edited by a moderator:
kama na wewe hutaki kufika je utafikishwaje?

Wewee nani asietaka kufika kileleni kaka?? Issue inakuja wewe unakua active manjonjo kibao lakin yule unaemfanyia anaviprinciple vyake hataki kurom, hatas kutestiwa microphone, anachojua yy n kudandia kama anarukia train ya mwakywembe, akimaliza ashashuka, n shidaaaaa
 
sidhani kama yupo wa kukataa kula maini akakimbilia mfupa, sema na ww uliktuna na bahati mbaya siku hiyo labda kwao ni taboo kufanyiwa unayosema , wengine ungetokea dirishani maana ungezalimishwa kutelemka kilimanjaro mara tatu hadi nne @mama la mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom