Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
wanaozomea sio wote ni wanaume ! mbona wao wakivaa yale masuruali yao yanayodondokea magotini na kuonyesha ch..pi, hawazomewi....huu ni unyanyasaji wa wanawake.Watu wote wote wanamzomea kwa jinsi alivyovaa afu ww unaona sawa. Km vp hebu na ww vaa kinguo km hicho uone km utaweza hata kutoka nje.