Wakaguzi wa ISO lazima wawe Wakenya?

Wakaguzi wa ISO lazima wawe Wakenya?

mandwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
1,502
Reaction score
372
Nipo kwenye kampuni fulani ya Wahindi, kuna wakaguzi wa masuala ya viwango ISO wapo hapa kwa wiki sasa hawa jamaa ni Wakenya na wapo peke yao akuna Mtanzania hata mmoja.

Na katika kuuliza kwangu nimeambia hii Kampuni ndiyo inagharamia kila kitu kwa hawa wakaguzi kuanzia usafiri hadi malazi.Swali langu inakuaje mkaguzi atoke Kenya aje hapa Tz afanye kazi bila kuwepo hata Mtanzania?

Ina maana hapa hakuna mkaguzi mpaka atoke Kenya?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Weka bayana hiyo kampuni ya hao wahindi wako inajishughulisha na nini,
 
Weka bayana hiyo kampuni ya hao wahindi wako inajishughulisha na nini,

Kampuni ya Rangi mkuu inasikitisha sana wanalipana mishahara mikubwa wanafanya kazi ambazo watanzania wangeweza kuzifanya,Watanzania wanalipwa kama vibarua kuna watu wapo zaidi ya miaka7 eti kibarua hii haki jamani?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kampuni ya Rangi mkuu inasikitisha sana wanalipana mishahara mikubwa wanafanya kazi ambazo watanzania wangeweza kuzifanya,Watanzania wanalipwa kama vibarua kuna watu wapo zaidi ya miaka7 eti kibarua hii haki jamani?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Unachanganya topic sasa mkuu...point yako ni auditing kufanywa na Wakenya ama ni mishahara midogo ama ni mtu kukaa muda mrefu bila ajira?
Anyway hilo la Auditing inawezekana kabisa kampuni kukaguliwa na wakaguzi kutoka nchi yeyote kwa mujibu wa bidhaa wanayoitengeneza na makubaliano yao waliyowekeana....Yawezekana hao wakaguzi wanakuja kukagua kampun yako na majibu ya ubora ama la wanayapeleka either kwa madirector wa hiyo kampun ama kwa watu wanayoiwezesha hiyo kampun kusurvive kwa namna moja ama nyingine na unakuja hao wakuu wako based Kenya.
 
Jibu sahihi kabisa... Na kwa kuongezea tuu ni kwamba huenda hiyo kampuni wanatafuta soko/uwakala na kampuni nyingine huko Kenya hivyo moja ya masharti ni kuja kuangalia ubora wa bidhaa. Ila kama ni ubora kwa ajili ya soko la ndani/nje TBS ndio jukumu lao.
Unachanganya topic sasa mkuu...point yako ni auditing kufanywa na Wakenya ama ni mishahara midogo ama ni mtu kukaa muda mrefu bila ajira?
Anyway hilo la Auditing inawezekana kabisa kampuni kukaguliwa na wakaguzi kutoka nchi yeyote kwa mujibu wa bidhaa wanayoitengeneza na makubaliano yao waliyowekeana....Yawezekana hao wakaguzi wanakuja kukagua kampun yako na majibu ya ubora ama la wanayapeleka either kwa madirector wa hiyo kampun ama kwa watu wanayoiwezesha hiyo kampun kusurvive kwa namna moja ama nyingine na unakuja hao wakuu wako based Kenya.
 
Jibu sahihi kabisa... Na kwa kuongezea tuu ni kwamba huenda hiyo kampuni wanatafuta soko/uwakala na kampuni nyingine huko Kenya hivyo moja ya masharti ni kuja kuangalia ubora wa bidhaa. Ila kama ni ubora kwa ajili ya soko la ndani/nje TBS ndio jukumu lao.
Umemaliza kila kitu hapo mkuu
 
we umeshasema ISO hilo si kampuni la Tanzania, Wakala anaweza kuwa Tanzania lakini wafanyakazi kutoka nchi yeyote. Ingekuwa TBS ningekuelewa.
 
Copy

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
jibu rahisi nikuwa hatuna wataalamu wa kutosha ISO auditors hapa tanzania, tumebase kwenye academic certificate
pia ni taasisi chache zinazotumia ISO,Sidhani kama zinafika hamsini hapa tanzania,taasisi za umma ni TRA,tbs na MSD nilisikia wana ISO
Humu ndani kuna member anaitwa mzee wa ndoga alishawahi kuleta mada akajitambulisha kuwa yeye ni certfied ISO 27001 AUDITOR kama sikosei na anatoa training
 
jibu rahisi nikuwa hatuna wataalamu wa kutosha ISO auditors hapa tanzania, tumebase kwenye academic certificate
pia ni taasisi chache zinazotumia ISO,Sidhani kama zinafika hamsini hapa tanzania,taasisi za umma ni TRA,tbs na MSD nilisikia wana ISO
Humu ndani kuna member anaitwa mzee wa ndoga alishawahi kuleta mada akajitambulisha kuwa yeye ni certfied ISO 27001 AUDITOR kama sikosei na anatoa training

Mkuu asante kwa ufafanuzi mzuri

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Iso stands for wat? na je kuna tofauti gn kati internal & external audit na Iso? Iso (wakaguzi wa viwango wakimataifa) sasa ulitaka mbongo ndo atengeneze alafu ajikague kwa kutumia brand name ya let say whitedent/coca?? Acheni majungu ndo maana hatuendelei
 
Hapa Tanzania kuna kampuni inaitwa SGS ndio inashughulika na otoaji na usimamiaji wa ISO. Sasa huenda hiyo kampuni yenu imewa contract Wakenya kuja kutoa huduma hiyo!
 
Quality auditors wengi wanatoka Kenya kwakuwa Watanzania wengi wanafeli test za kuwafanya wawe Qualified Auditors
 
Hapa Tanzania kuna kampuni inaitwa SGS ndio inashughulika na otoaji na usimamiaji wa ISO. Sasa huenda hiyo kampuni yenu imewa contract Wakenya kuja kutoa huduma hiyo!

Kuna SGS pia Kenya, maybe its the same company.
 
Back
Top Bottom