GE2025 Wajumbe wampitisha kwa kishindo Asma Ali Hassan Mwinyi

GE2025 Wajumbe wampitisha kwa kishindo Asma Ali Hassan Mwinyi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Asma Ali Hassan Mwinyi ameibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Welezo Zanzibar. Ushindi huo unampa nafasi kubwa ya kupeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao.

A.jpg
1754409035490.png
 
Nchi ina wenyewe wengine tubaki watazamaji
 
Waafrica wote tupo hivyo.......maisha ya uzalendo aliishi Nyerere pekeyake huyu Mzee alikuwa na uwezo wakuwapa ukoo wake wote ubunge
 
ukisikia jina la Mwinyi, Kikwete, Suluhu ni bora ukimbie kabisa maana uhakika hutoshinda.
 
Huko Zanzibar wao washajizoelea huo ni utaratibu wao ni full nepotism kwenye siasa na utumishi pande zile.

Ata mabalozi wa Jamhuri wenye asili ya Zanzibar wengi ni familia za vigogo wao, bi tozo ndio maana anaona kawaida kajaza ndugu na jamaa zake kibao na upande wa bara kutoka Zanzibar.

Sasa hivi hizo tabia anazileta na CCM bara sio kwamba azikuwepo, ila bi-tozo anataka zizoeleke iwe kawaida kama ilivyo kwa Zanzibar kujazana bila ya aibu.

Na unaambiwa ufisadi unaofanywa na hakina Mwinyi huko ni balaa, Abdul hafikii.
 
Back
Top Bottom