Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Baadhi ya Wajumbe uchaguzi wa CCM kata ya K'nyama ambao unafanyika katika Ukumbi wa Utoji uliopo Sinza wameonekana dhahiri asubuhi hii wakifakamia Bia na Viroba aka "LAPTOP" huku wengine wakiweka katika chupa za maji kabla ya kuingia katika Uchaguzi wa kata! kwa mtakaokumbuka mwisho wa wiki iliyopita uchaguzi katika kata ya Kawe ulitumbuka nyongo baada ya wajumbe na Wagombea kupigana kwa viti na ngumi kavu kavu. Sijui leo itakuwaje kwani wajumbe wa Kijitonyama ni watu wanaojiweza hivyo wengi wao wanaweza wakawa na "MANATI YA KIZUNGU" aka Bastola. TEGENI MASKIO...