Wajumbe Bodi zote 50% Wanawake

Wajumbe Bodi zote 50% Wanawake

na sio waziri kuteuwa anaowataka.

Nafikiri tunaenda kuona awaumu za hawa Mawaziri Mamlaka yao yakipunguzwa au kuthibitiwa na ofisi ya mwenyemamlaka. Hao wanawake wateuliwe kwa merits na wawe vetted na sio uteuziwa kuzingatia UKADA. Mbona Rwanda wanaelekea kufanikiwa?
 
M ininahofu na maamuzi yao wakiwakatika zile hali zao! so moody!wapunguzwe!

Jina lako linasema yote. Na basi tukiwa na watu wenye mawazo namna hii Kuongoza nchi watatatupa shida. This is very antwomen. Fikira Waziri Mkuu Mikel wa Ujerumani, Hillary Clinton, Golda Mayer- Israel, Indira Gadhi, Belisuda wa ICC, Sukyi, Katibu wa AU, Esta Bulaya, S.Suluhu, Makinda, Halima Mdee nk. Wewe unaingia kwa % kwa hao? Probably a fraction, hardly 00.0001% and insignificant.
 
Wajumbe wa bodi TANAPA vikao vyao vyote wanafanyia Ulaya,,,jk aliiharibu sana hii nchi... Mkurugenzi wa TANAPA kila siku yupo Ulaya
acha uwongo si kweli bodi ya TANAPA mara nyingi wanafanya arusha na TANAPA ni shrka ambalo linajiendesha kwa faida na kuipa serkali ruzuku hivyo usiishangae mkurugenzi wa TANAPA kusafri patner wa TANAPA Ni watalii unafkri utakaa ofsni mtalii aje pia mkurugenzi wa TANAPA kila sku anaonekana kwenye TV akiwa anazfungua miradi maporini... TANAPA si TRL au TANESCO ambao wanajiendesha kwa hasara naona watu wengi wana negative attitude na TANAPA..NGORONGORO..PPF ..NSSF wakat ni mashrka yanayoipa serkali fedha za kulipa mishahara wafanyakaz wa halmashaur..mawzara...kujenga miundombinu kama daraja la kigamboni ...hosptali usisahau kua TANAPA wanajenga mashule na hosptali bure kwa jamii znazopakana na hifadhi zao....no research no coment
 
Jina lako linasema yote. Na basi tukiwa na watu wenye mawazo namna hii Kuongoza nchi watatatupa shida. This is very antwomen. Fikira Waziri Mkuu Mikel wa Ujerumani, Hillary Clinton, Golda Mayer- Israel, Indira Gadhi, Belisuda wa ICC, Sukyi, Katibu wa AU, Esta Bulaya, S.Suluhu, Makinda, Halima Mdee nk. Wewe unaingia kwa % kwa hao? Probably a fraction, hardly 00.0001% and insignificant.
Asante sana kwa kumpa mifano yote anayohitaji kama ni wa kuelewa kitu. Tunarudishana nyuma na kauli na mawazo kama yake. Ndio atakuwa baba na atakuwa na mtoto wa kike na mzazi kama huyu akawa kikwazo cha mafanikio. Ukatili wakijinsia uko hata kati ya wazazi na binti zao.
 
Siyo mleta mada anawaombea lakini ukweli una dhibiti katika Bunge viti maalum pale kwa kuwa wanavipata kiushkaji Tusitegemee Tija yo yote.Hali kadhalika katika hiziBODI tunavyofikria wawemo Ni wamama wachche wanaoweza kufanya kile Taifa linavyowategemea .Tatizo lao ni matambo na kudharauliani mfano mchakato wa Dr.TULIA
 
Jina lako linasema yote. Na basi tukiwa na watu wenye mawazo namna hii Kuongoza nchi watatatupa shida. This is very antwomen. Fikira Waziri Mkuu Mikel wa Ujerumani, Hillary Clinton, Golda Mayer- Israel, Indira Gadhi, Belisuda wa ICC, Sukyi, Katibu wa AU, Esta Bulaya, S.Suluhu, Makinda, Halima Mdee nk. Wewe unaingia kwa % kwa hao? Probably a fraction, hardly 00.0001% and insignificant.

Good listing. Lakini tunawahitaji wanawake wanaojimudu na sio kujazilishia post eti tu kwa sababu tunataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa tunajali.

Simuungi mkono huyo mpuuzi alichokisema lakini nasisitiza kuwa ipo tofauti kubwa kati Magret Thatcher na mbunge wa vitu maalum wa CCM. Uanamke usiwe agenda, agenda iwe kiongozi bora.

Rundo la wamama waliofika bungeni kwa hisani haliwasaidii wanawake wala wanaume, sanasana wanaishia kutumika kupitisha maamuzi mabovu. Vigezo vikikaa mlingano, mwanamke na apite lkn sio wazo la kipuuzi la mtoa mada
 
Siyo mleta mada anawaombea lakini ukweli una dhibiti katika Bunge viti maalum pale kwa kuwa wanavipata kiushkaji Tusitegemee Tija yo yote.Hali kadhalika katika hiziBODI tunavyofikria wawemo Ni wamama wachche wanaoweza kufanya kile Taifa linavyowategemea .Tatizo lao ni matambo na kudharauliani mfano mchakato wa Dr.TULIA

Wanawake wana hofu ya asili, wanafikiria zaidi au sana hatma ya familia/ watoto. Wengi hawapendi kuthubutu kama akina Tiba na Eliai** Mrema. Wanaume hupenda vilkao vya siri tena usiku kwenye Mahoteli na huko ndio deal hutengenezwa, na hupenda mambo ya kifahari maghorofa, Magari na matanuzi.
 
Na wamama Bungeni ni mashindano ya uvaaji na Nywele pia mipasho na hata kivazi hujisahau kama wao ni waheshimiwa ni wamama wabunge hwazidi kumi mle bungeni wanajenga hoja.Tukubali wamama wana Tatizo
 
Ufisadi katika mashirika na taasisi za umma utapunguzwa kwa kiwango kikubwa pale tu asilimia kubwa ya wajumbe itafanywa na wanawake. Hili pia litaimarisha usawa wa jinsia.

Nchi kama Norway wanafanya hivyo na wamefanikiwa sana. Wanawake wanaweza. Naomba Mhesh Rais aanze na Bodi kama za Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro, TANESCO, TANAPA, TRA, TPA , Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nk
Sio kila kitu kinafaa kuigwa
 
Ufisadi katika mashirika na taasisi za umma utapunguzwa kwa kiwango kikubwa pale tu asilimia kubwa ya wajumbe itafanywa na wanawake. Hili pia litaimarisha usawa wa jinsia.

Nchi kama Norway wanafanya hivyo na wamefanikiwa sana. Wanawake wanaweza. Naomba Mhesh Rais aanze na Bodi kama za Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro, TANESCO, TANAPA, TRA, TPA , Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nk
Sikubaliani na wewe hata kidogo
 
Hela ya mboga ya tibaijuka, kwani wakati anasema hivyo alikuwa mwanaume.

....

Ha ha ha! Sio wakati anasema hivyo bali wakati anaipokea alikuwa dume labda. Ufisadi hauna jinsia.
 
Good listing. Lakini tunawahitaji wanawake wanaojimudu na sio kujazilishia post eti tu kwa sababu tunataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa tunajali.

Simuungi mkono huyo mpuuzi alichokisema lakini nasisitiza kuwa ipo tofauti kubwa kati Magret Thatcher na mbunge wa vitu maalum wa CCM. Uanamke usiwe agenda, agenda iwe kiongozi bora.

Rundo la wamama waliofika bungeni kwa hisani haliwasaidii wanawake wala wanaume, sanasana wanaishia kutumika kupitisha maamuzi mabovu. Vigezo vikikaa mlingano, mwanamke na apite lkn sio wazo la kipuuzi la mtoa mada

Uanamke usiwe agenda,agenda iwe kiongozi bora. Umesema vizuri sana.

Kama wanawake hawapo wenye vigezo vya uongozi wengi basi waandaliwe. Na utaratibu wa kuwapata urekebishwe.

Kwa vile umegusia mbunge wa viti maalum wa CCM, tukitoka nje ya mada kidogo, hata hao wabunge wanaume walio wengi wamefanya nini sana? Tuna tatizo la kitaifa,labda wenye vigezo hawagombei so wanaongozwa na wasio na vigezo ila wana ujasiri na muda wa kugombea. Kuna shida zaidi ya jinsia nchi hii.

Kuna msemo wa Kim Hubbard "We'd all like to vote for the best man but he's never a candidate."
 
Uanamke usiwe agenda,agenda iwe kiongozi bora. Umesema vizuri sana.Kama wanawake hawapo wenye vigezo vya uongozi wengi basi waandaliwe. Na utaratibu wa kuwapata urekebishwe. Kwa vile umegusia mbunge wa viti maalum wa CCM, tukitoka nje ya mada kidogo, hata hao wabunge wanaume walio wengi wamefanya nini sana? Tuna tatizo la kitaifa,labda wenye vigezo hawagombei so wanaongozwa na wasio na vigezo ila wana ujasiri na muda wa kugombea. Kuna shida zaidi ya jinsia nchi hii. Kuna msemo wa Kim Hubbard "We'd all like to vote for the best man but he's never a candidate."
Mfumo dume una uhusiano mkubwa sana na ufisadi. Fuatilia ya Kenya, Tanzania na Nigeria. Tusipate woga wala hofu kuwashirikisha wanawake madaraka makubwa.
 
Hahahahahahahahaaaa!!! Yaani humu JF kila jambo ukiliongelea ujue utaletewa counterpart ya hicho ulichokisema..yaani ni full action and reaction
 
Binafsi sikatai dhana ya jinsia ila sidhan kama ni sahihi kuweka watu dhaifu ili kuonekana unafanya kazi, hii nchi bado ni masikin hatuhitaji mambo ya kina mama japokuwa tunawapenda wawekwe watu bold wafanye kazi sio kuleta umarekani mwiiingi wakat kichwan hamna kitu.
 
+ Prof. Anna Kamjumulo Tibaijuka

Ndio watu wajue kuwa ile kampeni ya kusema chagua mwanamke eti wanawake sio mafisadi imesha prove wrong. Wanaweke nao ni mafisadi wabaya tu kama wanaume. Hivyo hiyo kampeni inajifia yenyewe.
 
Back
Top Bottom