Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
wanawalazimisha watu kutoa matamko hata kwa kungoa meno ya watu
Pangua hoja wacha kutumia akili za nanii iliyohalalishwa na Babu Majanga
wanawalazimisha watu kutoa matamko hata kwa kungoa meno ya watu
Haya mawazo yenu finyu ndio yanendelea kuizika CHADEMA.
Matatizo ya CHADEMA ni yale yale miaka nenda rudi, ila kutokana na ulofa wa wanachadema wenyewe kutotaka kujirekebisha na kuifanya mioyo yao kuwa migumu, matatizo haya yaliyotajwa hapo hayarekebishwi na yanaendelea kujirudia rudia kila mara, na mbaya zaidi hawa wanywa maji ya bendera wa CHADEMA hawaoni kama ni tatizo katika ustawi wa chama chao.
Mkuu kwa nini wewe usiwe mpuuzi,upuuzi wa hawa watu uko wapi au kwa vile wamesema ukweli ndiyo wanaitwa wapuuzi?Wapuuzi hawa wa Tabora mpaka leo wameshindwa hata kutoa mbunge mmoja wa chadema wa kuchaguliwa hawana nafasi ya kupiga domo ili waweze kuishi.Watuambie ccm imewahonga kiasi gani?
Tatizo vijana wa lumumba ni hopless sped yote nikwenda kukusanya wajumbe wasiokua na manufaa kwa taifa nakuwakabizi tamko lililoandaliwa dar.
Utaelewa vipi na akili yako ya QT ndiyo imefika kikomo cha kuelewa.Msalani;
CHADEMA haifi na wala haitakuwa weakened kwa mbinu na mtindo dhaifu wa siasa za enzi za CUF na NCCR - MAGEUZI!!
Halafu mimi hata sikupati na sikuelewi kabisa kana kwamba na wewe ni miongoni mwa timu hii iliyofadhiriwa na CCM hasimu wa CHADEMA na hapo mnageuga kuwa wa washauri wa hasimu wenu!!...BTW,una maana ustawi wa CHADEMA unatengenezwa na kuandaliwa na CCM Lumumba?.....Hiki ni kituko cha mwaka
Pangua hoja wacha kutumia akili za nanii iliyohalalishwa na Babu Majanga
Kwahiyo unatafute mume?Naongea na Mbebs wa ukweli.....mjitu unaingilia tu.... Juliana Shonza mimi ni gentleman bana sitaki usikilize walaghai kama hawa......sikiliza ushauri wangu bana najua umeingizwa king tu.......
nitapanguaje hoja ya mtu aliyefukuzwa uanachama siku nyingi
siwezi toa muda wangu kuchambua ujinga mlioandika wakati sign sheet kaandika mtu mmoja broo niko na Knowlege ya computer
angalia Tabora ya kwanz na Tabora ya kwenye Line ya pili angalia kwa second leve their firs T haow they look like au unataka niendelee kukuchambulia
acheni ujinga
Ungejibu kwanza hao ni wanachadema ama mlishawafukuza?? Madai yao yakuwa Baraza kuu lilipaswa kukaa mwezi Februar ni ya kweli ama uongo?? Hayo mabilioni ya ruzuku ni kweli chadema waliyapoke au uongo?? Na yalitumikaje?? Na kama waliyapokea je ni kweli account ya chama haina hata senti tano?? Na ni kweli Mbowe anakida chama fedha zisizo julikana idadi yake?? Na je wakati akikikopesha chama kikao gani kilikaa kuidhinisha?? Na kashajilipa shilingi ngapi na bado ngapi anakidai chama?? Ni hayo tu kwanza
Yaliyosemwa kwenye tamko kwa akili zako bila kutegemea za ile kitu aliyehalalisha Babu Padri Majanga yana-ukweli?? Embu pangua hoja sasa wacha kutumia siasa rahisi za kulalamika na za matusi
Utaelewa vipi na akili yako ya QT ndiyo imefika kikomo cha kuelewa.
:bump:waseme mara ngapi kwenye vikao halali?wazungumze vingapi na wasione mabadiliko?Nadhani hapa hapaitajiki kujuwa mtu yuko kundi gani nadhani muhimu ni kuangalia maudhui au ujumbe ulioletwa nahao jamaa wanaojiita viongozi. Ukiangalia kwa undani kunabaadhi ya vitu vinamaana na kunabaadhi ya mambo nikukuza na mengine hakuna ukweli mfano vyama Havina ofisi vinafanya kazi kwenye flemu za maduka na viongozi huangaika kutafuta kodi huku kunaruzuku hili nilakweli ila bado siamini njia waliyotumia kama nisahihi yakutoa matamko kwenye vyombo vya habari wakati kunavikao ambavyo vingetatua matatizo haya hakika kama kweli niviongozi wangelazimisha kikao kiwepo nakutoa hoja Zao huko ndiyo kukijenga chama na sikuja kulalama kwenye vyombo vya habari
Mtu kama Freeman Mbowe hakuna anachojua zaidi ya kutafuta pesa kwa njia za wizi wizi tu. Mumempa nyani alinde mabua.
yaani kwa mfano ulitaka ziwe hadithi mpya?. kwanini msimuite mbowe mwenyewe aje kujibu hapa