Wajumbe Arusha waapa kumchagua Cde Dkt Makonda

Wajumbe Arusha waapa kumchagua Cde Dkt Makonda

20240929_170116.jpg
 
Wajumbe Arusha M Wana Jambo Lao nalo ni Comrade Dr Makonda
Naye ana PhD ya kupewa kama samia?
Hivi nyie machawa mna nn lakini? Huyu hata vyeti vyenyewe kaiba vya watu. Hajawahi kukanusha. Leo kawa Dr kweli??
 
Umekuja Duniani kusifia wanaume wenzako? au wewe ni ke? How come unaitwa Baba na una mke na watoto then kutwa nzima ni kusifia wanaume wenzako? Hii ni zaidi ya ukichaaa wa akili.
Usihangaike naye, huyo tunamjua ni bwabwa.
 
Ikitokea reforms za uchaguzi zimefanyika kabla ya uchaguzi CHADEMA wakashiriki huyo Bashite ajiandae kufanya kazi ingine...sio ubunge!!.
 
Back
Top Bottom