Wajue watanzania!

Wajue watanzania!

Investaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
913
Reaction score
923
Habari wasee. Leo nimejaribu kufuatilia kwa undani kuhusu watanzania kwa upande wa online contents, ingawa nilishafanya extensive research mwaka 2019, nikagundua watanzania wanapenda vitu vya kijinga na kiki ambazo zimetufanya tuwe hapa tulipo . Ukiingia TikTok ndio msiba mkubwa kwakweli , kizazi cha Gen Z ni cha hovyo kiasi kwamba mpaka huzuni, wanatumia social media vibaya bila manufaa zaidi ya kuuza utu wao bila kujua wanajiharibia future yao.

JamiiForums ya sasa ni tofauti kabisa na ya 2015, mwanzo nilikuwa nazurura JF kama guest kipindi hicho website si mzuri kama ya sasa lakini kulikuwa na madini sana ambayo ukiwa kama mtu mwenye kuona fursa unaweza ukaokota idea na ikabadilisha maisha yako na wengine. Kwa sasa nimekuwa nakimbilia sana jukwaa la TECH, lakini awali nilikuwa nakimbilia sana jukwaa la Biashara. Kwa sasa ni kama JF imevamiwa na Gez Z ambayo wanapost vitu ambavyo havina afya ni kama tuko TikTok, before JF ilijulikana kama jukwaa la wasomi na ukiingia kama guest unaona madini yaliyopo ila kwa sasa uwe mchimbaji sana ndio ubahatishe kuokota kinyume na hapo unakuwa mzururaji tu kama watu wa TikTok na Instagram.

Content Creator wazuri JF wameondoka kama The Bold, na wengine ambao walikuwa wanatoa madini ambayo yanabadilisha fikra zaidi na kufanya ufikiri vizuri kutokana na logic zilizopo kwenye contents. Uwandish wa The Bold ulikuwa wa akili kubwa sana kiasi kwamba ukisoma utajkuta fikra inabadlika kidogo , nilipenda sana contents za mshikaji. Kuna jamaa alikuwa anaandika contents za kivita nilishachat nae facebook nikamuuliza kulikon man mbona JF umelala mbele, alinijibu JF hawatoi chochote kwa waandishi wazuri akaamua aache kuandika.

Angalia hizi post hapo chini, inaonesha kwamba watanzia wanapenda UJINGA kuliko MAARIFA ambayo yaweza kusaidia ata TAIFA kwa jumla. SIkumbuki zamani unaweza kuta vitu kama hivi, kwa sasa contents kama hizi kwa JF ndio mpango mzima.

Labda nitoe ushauri kwa JF owner, afikilie kuweka PREMIUM CONTENTS ili wanapenda MAARIFA vs Kiki wajichuje, iwe jukwaa la kutoa ajira na kusaidia watu ku acquire new skills na kuingiza kipato .
 

Attachments

  • Screenshot 2025-05-09 095017.png
    Screenshot 2025-05-09 095017.png
    53.9 KB · Views: 13
  • Screenshot 2025-05-09 095221.png
    Screenshot 2025-05-09 095221.png
    53 KB · Views: 15
Nilikua Niko bado nasoma mwaka 2011 kama sikoseei nilikua napenda sana kuingia jamii forum yaan nikitoka shule tu mie huyo nilijifunza mambo mengi sana juu ya biashara na kilimo watu walikua wanatoa madini japo vingine nilikua sielew sana ila Kwa Sasa vimenifungua
Nilijifunza kilimo Cha viaz vitam humu na nilivomaliza shule nikaenda mahal mkoa fulan nilikuwepo nikakod shamba heka moja nikalima sababu sikua mzoefu na kilimo hicho nilisema ngoja nianze na heka moja ndo mara yangu ya kwanzaaa kufanya kilimo alhamdullilah nilipata na sikutaka kuuza Kwa wafanyabiashara nikatafuta soko kwenye magereza wafungwa nikawauzia debe elf 12500 na vingine nilienda kuuza sokon sikutumia Dalal Wala kijus mfanyabiashara niliuza mwenye at time nilikua mdogo watu walidhan wazaz wametuma kuja kuuza 😄😀😂
Ila yote nikazid kupenda sana jamiiforums
Nikamaliza chuo nikarud Tena mkoa uleule nikaanza kufuga samaki aloooh nimetoka mbali
Jamii forum izid kuwepo na kuwepo japo Kwa Sasa watu wanatoa nyuz zisizoeleweka wachache sana wanao toa elim 🤎jf
 
Nilikua Niko bado nasoma mwaka 2011 kama sikoseei nilikua napenda sana kuingia jamii forum yaan nikitoka shule tu mie huyo nilijifunza mambo mengi sana juu ya biashara na kilimo watu walikua wanatoa madini japo vingine nilikua sielew sana ila Kwa Sasa vimenifungua
Nilijifunza kilimo Cha viaz vitam humu na nilivomaliza shule nikaenda mahal mkoa fulan nilikuwepo nikakod shamba heka moja nikalima sababu sikua mzoefu na kilimo hicho nilisema ngoja nianze na heka moja ndo mara yangu ya kwanzaaa kufanya kilimo alhamdullilah nilipata na sikutaka kuuza Kwa wafanyabiashara nikatafuta soko kwenye magereza wafungwa nikawauzia debe elf 12500 na vingine nilienda kuuza sokon sikutumia Dalal Wala kijus mfanyabiashara niliuza mwenye at time nilikua mdogo watu walidhan wazaz wametuma kuja kuuza 😄😀😂
Ila yote nikazid kupenda sana jamiiforums
Nikamaliza chuo nikarud Tena mkoa uleule nikaanza kufuga samaki aloooh nimetoka mbali
Jamii forum izid kuwepo na kuwepo japo Kwa Sasa watu wanatoa nyuz zisizoeleweka wachache sana wanao toa elim 🤎jf
Suala la kuzingatia ni kuchagua maudhui
 
Nimejiunga JF toka imeanza ikiitwa Jambo Forums, ni kweli kuna mabadiliko makubwa sana ya kifikra na nyuzi zinazoanzishwa. Inaonesha kuna kizazi kipya cha hovyo kimeingia JF na ndio maana siku hizi hamna madini mengi kama zamani. Nawakilisha.
 
Tatizo unachokiona wewe ni changamoto kwa mwenzio ni fursa cause kila mtu aliingia humu kwa intentions zake ,.

Ila ukiwa msomaji mzuri humu bado kuna madini mengi sana ni wewe kuchagua uingie jukwaa gani
 
Maisha yanakimbia sana hata hao ITV na Channel Ten huwezi kaa ukaangalia na watu unaowaheshimu


Bro STEPHEN CHELU Sijui aliishia wapi? Kwa mwenye taarifa anifahamishe
 
Nilikua Niko bado nasoma mwaka 2011 kama sikoseei nilikua napenda sana kuingia jamii forum yaan nikitoka shule tu mie huyo nilijifunza mambo mengi sana juu ya biashara na kilimo watu walikua wanatoa madini japo vingine nilikua sielew sana ila Kwa Sasa vimenifungua
Nilijifunza kilimo Cha viaz vitam humu na nilivomaliza shule nikaenda mahal mkoa fulan nilikuwepo nikakod shamba heka moja nikalima sababu sikua mzoefu na kilimo hicho nilisema ngoja nianze na heka moja ndo mara yangu ya kwanzaaa kufanya kilimo alhamdullilah nilipata na sikutaka kuuza Kwa wafanyabiashara nikatafuta soko kwenye magereza wafungwa nikawauzia debe elf 12500 na vingine nilienda kuuza sokon sikutumia Dalal Wala kijus mfanyabiashara niliuza mwenye at time nilikua mdogo watu walidhan wazaz wametuma kuja kuuza 😄😀😂
Ila yote nikazid kupenda sana jamiiforums
Nikamaliza chuo nikarud Tena mkoa uleule nikaanza kufuga samaki aloooh nimetoka mbali
Jamii forum izid kuwepo na kuwepo japo Kwa Sasa watu wanatoa nyuz zisizoeleweka wachache sana wanao toa elim 🤎jf
Hehe! jamiiforum yasasa tupo kwaajili ya watu kama nyinyi mliofaidika na maarifa ya wakati huo!, sasa sisi tumekuja kufaidika nanyinyi!..
yani sasahivi tunataka mishangazi kama nyinyi mtulee sasa...🤣
wanasema cha mtu huliwa na mtu!.

joke.
 
Hehe! jamiiforum yasasa tupo kwaajili ya watu kama nyinyi mliofaidika na maarifa ya wakati huo!, sasa sisi tumekuja kufaidika nanyinyi!..
yani sasahivi tunataka mishangazi kama nyinyi mtulee sasa...🤣
wanasema cha mtu huliwa na mtu!.

joke.
Mimi bado sijawa shangazi jaman jaman😂
 
JF is no longer The home great thinkers

Soon Mimi mwenyewe nitaacha kuandika chochote ikiwa uongoi wa JF wasipofanyia Kazi hilo swala
 
Back
Top Bottom