Aisee 👊👊👊Mwanaume m bovu ni yule ambae ana kazi yaku criticize wanawake nakuongea shamelessly akijiona yeye ndo yupo sawa..
Sisi wote nibinadam kila moja na mtizamo wake it's better to keep that to yourself kwasabu aibadili kitu zaidi zaidi utaonekana umekosa kazi ya kufanya
Bado njoo unisitiriUshapata mume?
Sent from my iPhone using JamiiForums




Nasikia kelele huku , VIP kuna MTU kaumia ?Mwanaume m bovu ni yule ambae ana kazi yaku criticize wanawake nakuongea shamelessly akijiona yeye ndo yupo sawa..
Sisi wote nibinadam kila moja na mtizamo wake it's better to keep that to yourself kwasabu aibadili kitu zaidi zaidi utaonekana umekosa kazi ya kufanya
"My wangu" ni nini hiyoMmmmh my wangu... unataka usitiliwe mara ya ngapi ??
Happy dude
![]()
Jiwe gizaniMwanaume m bovu ni yule ambae ana kazi yaku criticize wanawake nakuongea shamelessly akijiona yeye ndo yupo sawa..
Sisi wote nibinadam kila moja na mtizamo wake it's better to keep that to yourself kwasabu aibadili kitu zaidi zaidi utaonekana umekosa kazi ya kufanya




Na wanaume wasiojielewa wapoje ?WAJUE WANAWAKE WASIOJITAMBUA
1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti.
2. Anayetoa mimba kisha analala na midoli.
3. Anaye-date na mume wa mtu miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa!
4. Anayeweka nywele bandia, kucha bandia, kope bandia akiambiwa amependeza anasema ahsante.
5. Mwanamke ambaye hamiliki hata kitanda lakini anataka mwanaume mwenye gari.
6. Basi kiboko kabisa ni mwanamke anayevaa hali ya kuwa bado yupo uchi huku akisema anaenda na wakati.
7. Kiongozi wa wanawake wasiojitambua ni ajifananishaye na mwanaume kuanzia mavazi mpaka baadhi ya matendo, huku akijua kufanya hivyo ni kulaaniwa na Allah lakini yupo tayari kupata lana za Allah ili aende na wakati.
KIFO KIPO KARIBU KULIKO UKARIBU WA NGOZI NA NYAMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaitwa nipe nikupe!Mwanamme mpumbavu ni Yule anayezini na mwanamke Huku akijua Ana mkewe,
Mwanaume mpumbavu ni Yule anayezini bila Kinga halafu mimba ikitungwa anaikana na kushauri itolewe Kwa kutoa sababu kwamba hahitaji mtoto
Bila shaka hili jiwe la gizani limetua kwako!!Mwanamme mpumbavu ni Yule anayezini na mwanamke Huku akijua Ana mkewe,
Mwanaume mpumbavu ni Yule anayezini bila Kinga halafu mimba ikitungwa anaikana na kushauri itolewe Kwa kutoa sababu kwamba hahitaji mtoto
......kama ni hivo bas nusu ya robo ya wanawake wa jf hawajitambui........nishapita nao weng hawajitambui.......nitaweka orodha yao..........
...hahaha wap nimeandika wote soma vizur......Acha generalization za kijinga eti umepita nao wote . humu ndani kuna baadhi ya watu wanapenda kusakama wanawake as if hawana shughuli ya kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
...hahaha wap nimeandika wote soma vizur......
.....hahahah njoo pm nikutajie nilpowaona.......
Sna haja ya kuwajua.....hahahah njoo pm nikutajie nilpowaona.......