Wajue wanawake wasiojitambua

Wajue wanawake wasiojitambua

BigBaba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,908
Reaction score
9,041
WAJUE WANAWAKE WASIOJITAMBUA

1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti.

2. Anayetoa mimba kisha analala na midoli.

3. Anaye-date na mume wa mtu miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa!

4. Anayeweka nywele bandia, kucha bandia, kope bandia akiambiwa amependeza anasema ahsante.

5. Mwanamke ambaye hamiliki hata kitanda lakini anataka mwanaume mwenye gari.

6. Basi kiboko kabisa ni mwanamke anayevaa hali ya kuwa bado yupo uchi huku akisema anaenda na wakati.

7. Kiongozi wa wanawake wasiojitambua ni ajifananishaye na mwanaume kuanzia mavazi mpaka baadhi ya matendo, huku akijua kufanya hivyo ni kulaaniwa na Allah lakini yupo tayari kupata lana za Allah ili aende na wakati.

KIFO KIPO KARIBU KULIKO UKARIBU WA NGOZI NA NYAMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamme mpumbavu ni Yule anayezini na mwanamke Huku akijua Ana mkewe,
Mwanaume mpumbavu ni Yule anayezini bila Kinga halafu mimba ikitungwa anaikana na kushauri itolewe Kwa kutoa sababu kwamba hahitaji mtoto
Una maanisha upumbavu huu wa wanaoitwa wanawake unasababishwa na wanaume au sio mkuu??
Basi sawa.
Tuko pamoja
 
Mwanaume m bovu ni yule ambae ana kazi yaku criticize wanawake nakuongea shamelessly akijiona yeye ndo yupo sawa..
Sisi wote nibinadam kila moja na mtizamo wake it's better to keep that to yourself kwasabu aibadili kitu zaidi zaidi utaonekana umekosa kazi ya kufanya
Sasa mkuu akikaa kimya humu ndan kila mtu si patapoa sana?
Maana akil hazifanani na wengine mambo mazito zito ya kutumia akil hawawez kuyaandika.Halad wengine hawapend kuysoma pia.Haya haya ndio wengine wanayapenda .Halaf trust me..licha ya kuona jamaa kama anazingua, wengine wanasaidika.

NB
ingawa wanaume nanyi mmezid kuwasakama hawa viumbe.
Ahahahahabab

Ni mtazamo tu.
 
Hivi wanaojitambua ni wale ambao huwa wanajua wajibu wao Kama kumpikia mume wake kumuandalia maji ya kuoga hata Kama kuna sink kumuandalia mavazi anayopenda kuvaa kwenda kwenye pilika huko kumuandalia chakula mezani hata Kama Dada kazi yupo kuwa nae bega kwa bega kwa Mambo ya msingi kumsaidia majukumu na mawazo pia yangu ni hayo siku njema wapendwa



LE
 
Ata wanawake wapo (Mleta mada kaleta ya Wanawake moja kwa moja hamna mwanaume anae vaa mini skirt wala kuvaa vitu bandia)
Mwanamme mpumbavu ni Yule anayezini na mwanamke Huku akijua Ana mkewe,
Mwanaume mpumbavu ni Yule anayezini bila Kinga halafu mimba ikitungwa anaikana na kushauri itolewe Kwa kutoa sababu kwamba hahitaji mtoto
Vice Versa is true.
 
Back
Top Bottom