1. Bw. William Chenza (Mkurugenzi): Huyu alifikishwa mbele ya Bodi ili afukuzwe lakini bodi ikaona hakukua na sababu za kumfukuza wakati huo. Baada ya hapo akawa hashirikishwi kwenye kazi za uwekezaji na mipango. Mazingira ya kazi kwa Bw. Chenza yalikuwa magumu sana akaacha kazi. Kwa sasa baada ya kuona hawezi kuajiriwa ameamua kuwa mjariamali na sasa anaendesha shule.
2. Bw. Oscar Mwachang'a(Mkurugenzi) : Huyu alifariki tayari akiwa amefikishwa mbele ya Bodi ili afukuzwe kazi. Alifariki kabla hajafukuzwa kazi. (kifo cha kawaida)
3. Bw. Michael Mjinja (Mkurugenzi): Huyu alifikishwa mbele ya Bodi ili afukuzwe kazi. Bodi ilikataa na akarudi kazini lakini akawa anafanya kazi katika mazingira magumu sana. Aliwekwa pembeni kwenye mambo mengi. Hatimaye alikuja kufukuzwa "technically". Kurugenzi yake iliunganishwa na Kurugenzi nyingine akaambiwa akitaka aombe. Aliomba kazi hiyo akaitwa kwenye interview lakini akashindwa na msaidizi wake.
4. Bw. Baduru Msangi: (Mkurugenzi) Mzee huyu bahati mbaya hakuwa amempenda muda mrefu tu. Lakini kwa kuwa mzee huyu alikuwa hana makuu na watu hakuweza kupata sababu za kumshitaki kwenye bodi. Yeye aliondoka technically. Idara yake iliunganishwa naye kama ilivyokua kwa Bw. Mjinja akaambiwa akitaka aombe. Aliomba akaitwa kwenye interview akapigwa chini.
5. Bi. Irene Isaka (Meneja): Huyu baada ya Bw. Chenza kuondoka yeye ndiyo alikuwa awe Mkurugenzi, alienda Benki ya Stanbic na baadae SSRa ambako sasa ni DG wa SSRA.
6. Bi Carina Wangwe (Mkurugenzi): Ameenda SSRA (hajafukuzwa).
7. Bw Emmanuel Kakuyu (Meneja): Aliondolewa kwa tuhuma mbalimbali. Kumekuwa na madai kwamba yeye ndiye anatuhumiwa kutoa siri nje.
8. Bi Siriel Mchembe (Meneja): Ameachishwa kazi akituhumiwa kutoa siri nje ya PPF.
9. Bw. Kedron Mbwilo (Meneja); Alikua idara ya Uhasibu akahamishiwa idara nyingine kabla ya kuhamishiwa Mbeya kabla ya kuondolewa kazini moja kwa moja.
2. Bw. Oscar Mwachang'a(Mkurugenzi) : Huyu alifariki tayari akiwa amefikishwa mbele ya Bodi ili afukuzwe kazi. Alifariki kabla hajafukuzwa kazi. (kifo cha kawaida)
3. Bw. Michael Mjinja (Mkurugenzi): Huyu alifikishwa mbele ya Bodi ili afukuzwe kazi. Bodi ilikataa na akarudi kazini lakini akawa anafanya kazi katika mazingira magumu sana. Aliwekwa pembeni kwenye mambo mengi. Hatimaye alikuja kufukuzwa "technically". Kurugenzi yake iliunganishwa na Kurugenzi nyingine akaambiwa akitaka aombe. Aliomba kazi hiyo akaitwa kwenye interview lakini akashindwa na msaidizi wake.
4. Bw. Baduru Msangi: (Mkurugenzi) Mzee huyu bahati mbaya hakuwa amempenda muda mrefu tu. Lakini kwa kuwa mzee huyu alikuwa hana makuu na watu hakuweza kupata sababu za kumshitaki kwenye bodi. Yeye aliondoka technically. Idara yake iliunganishwa naye kama ilivyokua kwa Bw. Mjinja akaambiwa akitaka aombe. Aliomba akaitwa kwenye interview akapigwa chini.
5. Bi. Irene Isaka (Meneja): Huyu baada ya Bw. Chenza kuondoka yeye ndiyo alikuwa awe Mkurugenzi, alienda Benki ya Stanbic na baadae SSRa ambako sasa ni DG wa SSRA.
6. Bi Carina Wangwe (Mkurugenzi): Ameenda SSRA (hajafukuzwa).
7. Bw Emmanuel Kakuyu (Meneja): Aliondolewa kwa tuhuma mbalimbali. Kumekuwa na madai kwamba yeye ndiye anatuhumiwa kutoa siri nje.
8. Bi Siriel Mchembe (Meneja): Ameachishwa kazi akituhumiwa kutoa siri nje ya PPF.
9. Bw. Kedron Mbwilo (Meneja); Alikua idara ya Uhasibu akahamishiwa idara nyingine kabla ya kuhamishiwa Mbeya kabla ya kuondolewa kazini moja kwa moja.