Wajue jini mahaba na jini mapesa

Wajue jini mahaba na jini mapesa

Huyu jamaa anataka kuniaminisha na jinsi nilivokua naamin ila ikaja akanitolea iman hiyo. Nilijua kuwa jini mahaba ni wale wapenda ngono kwenda mbele kumbe ni kinyume chake, kumbe jini mahaba likimwingia mtu anakua wake hapendi ngono wala hafurahii ngono na watu wengine
 
Hivi inakuwaje kuna jini mahaba wakati nasikia majini yanaogopa manii (janaba)??

Au ni propaganda chafu watu tusijimwae mwae na dada zetu wa pwani??
 
Back
Top Bottom