Wana bodi wa jF
Ni mwanachama hai na makini , katika chama makini tz....
Naomba mnieleweshe vizuri wajibu wa "5. Kuwa tayali kupambana na namna yoyote ya uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi"
Ukitazama kifungu hicho ndicho kinachoelekeza na kubariki vurugu kufanywa kwa kisingizio cha kijinga cha pipo pawa ambayo haina mashiko kabisa wataandamana wenyewe wachache wakijidanganya ni pipoz pawa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.