Wajameni umeme vipi tena?

Wajameni umeme vipi tena?

mringi

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
99
Reaction score
22
Sitanii hapa kwetu leo 18/09/2015 hakuna umeme tokea asubuhi,huku tuliamka tukiwa na matumaini tele kuwa ule umeme wa gas unaanza leo ,Mitambo itawashwa Ubungo,Kinyerezi na mnazi bay,grid ya taifa itanona,viwanda hadi vijijini,bei poa na tutanusu maji yetu ili tuyatumie kwa kilimo cha umwajiliaji, tutanusuru misitu yetu kwani gunia la mkaa litakuwa sawa bei mara kumi kulinganisha na bei ya gas.hii nini sasa?
 
Sitanii hapa kwetu leo 18/09/2015 hakuna umeme tokea asubuhi,huku tuliamka tukiwa na matumaini tele kuwa ule umeme wa gas unaanza leo ,Mitambo itawashwa Ubungo,Kinyerezi na mnazi bay,grid ya taifa itanona,viwanda hadi vijijini,bei poa na tutanusu maji yetu ili tuyatumie kwa kilimo cha umwajiliaji, tutanusuru misitu yetu kwani gunia la mkaa litakuwa sawa bei mara kumi kulinganisha na bei ya gas.hii nini sasa?

Hujaelewa GES inayoongelewa niipi.... ni ile inayotokea Emergency door….
 
Labda tuwaongeze siku tuwaachie mwez wote huu,m nilidhani hawakutakiwa kuja kutukana mamba kabla hawajavuka mto yaani kutuhaidi umeme wa uhakika kabla hawajaunga hiyo mitambo,m nadhani tuwape muda pengine wako katika kumalizia ile opareshen yao ya kukata mataw ya mit inayoparamia nyanya za umeme,tuwape muda usikute wanafikiri waje wajitetete vipi gesi tumeunganisha lakin kifaa kinachofua gesi kimeingua ndio wamekiagiza toka ughaibuni,pengine tuwape muda mtwara mvua zimepungua wanasubil mvua zianze waivune kwa wing ges ,m ushaur wangu tuwape muda
 
CCM ni ile ile mtaisoma namba!!!!!!!!
 
Sitanii hapa kwetu leo 18/09/2015 hakuna umeme tokea asubuhi,huku tuliamka tukiwa na matumaini tele kuwa ule umeme wa gas unaanza leo ,Mitambo itawashwa Ubungo,Kinyerezi na mnazi bay,grid ya taifa itanona,viwanda hadi vijijini,bei poa na tutanusu maji yetu ili tuyatumie kwa kilimo cha umwajiliaji, tutanusuru misitu yetu kwani gunia la mkaa litakuwa sawa bei mara kumi kulinganisha na bei ya gas.hii nini sasa?
Uposawa kuuliza japo umeanza kejeli humohumo
 
Ila yote kwa yote; Dodoma mjini wanaionea sana Tanesco.

Yan umeme umekuwa kawaida kukatika, Unaweza kukatika Asubuhi ukarudi Usiku.
Au na tena hiyo usiku ni usiku kwel, yaan Nashangaa sana inakuwaje giza linaukumba Makao makuu ya Tz!! Yan sasa ni ziadi ya Mwezi mji wa Dom unaEXPERIENCE hili tatizo la giza.

I SHOCKED 😢😢
 
Labda tuwaongeze siku tuwaachie mwez wote huu,m nilidhani hawakutakiwa kuja kutukana mamba kabla hawajavuka mto yaani kutuhaidi umeme wa uhakika kabla hawajaunga hiyo mitambo,m nadhani tuwape muda pengine wako katika kumalizia ile opareshen yao ya kukata mataw ya mit inayoparamia nyanya za umeme,tuwape muda usikute wanafikiri waje wajitetete vipi gesi tumeunganisha lakin kifaa kinachofua gesi kimeingua ndio wamekiagiza toka ughaibuni,pengine tuwape muda mtwara mvua zimepungua wanasubil mvua zianze waivune kwa wing ges ,m ushaur wangu tuwape muda

mkuu hayo matawi. Yanakatwa kuanzia saa 12 alfajiri mpaka saa 6 usiku? Isitoshe hili tatizo la mgao halijaanza leo, ni tangu mwezi wa 6 mpaka leo.

Sasa kwa nini Tanesco wasiseme ukweli kwamba shirika limeshindwa kujiendesha?

Watanzania tujue moja kwamba umeme sasa hamna. Tutaafuta njia mbadala. Kuliko kufichwa fichwa wanaficha nini !!
 
Tangu lini umewahi sikia tanesco wanasema ukweli

Nakubaliana na wewe 100/100 hawa jamaa wamesha ambukizwa uongo na chama cha mapinduzi.

Sasa wanaleta siasa kwenye maisha ya watu. Jamani tuhamke bila kuiondoa ccm madarakani hakuta kuwa na maendeleo kwenye nchi ihi.
 
Back
Top Bottom