Wajameni nmeizimia toyota passo

ChaterMaster

JF-Expert Member
Aug 17, 2009
1,622
791
Wakuu nmecheki bei za toyota passo kwenye mtandao naona ni nzuri tu yan gar cc 998 na 1000 unapata kwa bei poa FOB 849-1200
sasa ushauri wenu unahitajika maana nilitaka kuchukua IST ila nimegairi maana bei yake ni sawa na kujenga nyumba kabsa
Je hz gari passo zna shida gan maan m naona kwanza zina nafasi na cc ndogo kuliko hata IST
PLZ ushauri unahitajka....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom