COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,830
"TANGA RAHA"Najaaaa, watu wa Tanga mna lugha yenu lol. Huku Tarime hatujui 'Naja'
"TANGA RAHA"Najaaaa, watu wa Tanga mna lugha yenu lol. Huku Tarime hatujui 'Naja'
Kasie njoo tena ufundishe kupika bada, somo limekuwa gumu, wananchi watachangia MBJamani, wengine hapa wa bara kweli, sasa maelezo yenu naona mnahabarishana/mnaelezana badala ya kutufanya wasiojuwa bada waijue. Ebu tumieni Kiswahili rahisi basi. Ama siyo hiypo elimu itakuwa yenu tu. Nasi twataka jaribu pika hilo bada.
RAHA YA TANGA Ni SIRI naRaha ya Tanga ni nini hasa Mkuu?
In sha AllahTanga kuzuri. Nilitamani na mwaka huu nifike tena kutembea.
Inshallah mwakani ntaenda tanga nikazurure bara 12, mikanjuni, duga,
In sha Allah
Ufike na
Raskazone
Sahare
Makorora
Donge
Kwa njeka
Mwahako
Mwakidila
Chumvini
Usagara
Na
Magomeni
Yeah! Nguvumali karibu na baa iliyokuwa inaitwa kilimanjaroUmepakumbuka nguvu
Sahare ndio maeneo yangu mkuuPande zipi mkuu, mie nilikuwa huko miaka ya 80's . Mapana, mwamboni, deari, airport na nguvumali ndio ilikuwa mitaa yangu