Ahlan
Wasahlan
Wabarhaban
Karibuni Sana
@unkhuntu umealikwa huku kwenye na bada na Kasie
Unkhuntu ulikwenda nae wapi mpaka ukampendekeza kuja nae huku?
Nina juice safi ya mwarobaini kwa ajili yenu
View attachment 2041466
Ndio mkoa niliokuliaTanga....
The place i love
Asante mkuu, umenikumbusha mbali sana, nakumbuka bandari walikuwa na bendi yao ya ngoma za asili kama sio kiubata basi kibisa, mtoto wa nguvumali mie miaka ya 80 huko, mixer majani mapana
Pande zipi mkuu, mie nilikuwa huko miaka ya 80's . Mapana, mwamboni, deari, airport na nguvumali ndio ilikuwa mitaa yangumy homeland😍
Even meNdio mkoa niliokulia
Nguvu mali galanosPande zipi mkuu, mie nilikuwa huko miaka ya 80's . Mapana, mwamboni, deari, airport na nguvumali ndio ilikuwa mitaa yangu
Niliondoka TA 1989 ndio nimeenda tena mwezi wa kumi mwaka huuEven me
Sound tu hizoNyumba mganga..nyumba shoga
Ugali wa muhogoWengine hawaujui ugali wa bada, hebu kwa faida ya wote tufahamishe
Jamani, wengine hapa wa bara kweli, sasa maelezo yenu naona mnahabarishana/mnaelezana badala ya kutufanya wasiojuwa bada waijue. Ebu tumieni Kiswahili rahisi basi. Ama siyo hiypo elimu itakuwa yenu tu. Nasi twataka jaribu pika hilo bada.Ahsante zake Kasie kwa ufafanuzi
Kazi kwa wapishi sasa, maana somo tayari.
Hongera zako bibie
Post yako imenambia mambo matatu
1. U muandishi mzuri, waandika kama waongea, nimependa khasa code mixing yako.....'yakauka vyedi' na 'unga mtana' , wankumbusha Korogwe, Mombo na Sambaani, waambie pia watu wa Lindi kuwa Ngogwe ni nyanya chungu
2. U mpishi hodari wa vyakula vya asili, kupika bada kwataka ufundi maana unga wanata kama supagluu. Mpishi wa bada ni mtaalamu wa jiko.
3. U mwalimu mzuri, nimegundua hapo kwenye somo la upishi wa bada, najua u mzuri wa kufundisha mengi.
Hongera zako.
Nilipata elimu ya A level hukoNdio mkoa niliokulia