PreGE2025 Waitara: Vijana wanaotafuta ajira wajue ajira zinatengenezwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)

PreGE2025 Waitara: Vijana wanaotafuta ajira wajue ajira zinatengenezwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema kwa vijana wanaotafuta ajira, ajira zinatengenezwa na Chama cha Mapinduzi.

 
So what..?
Hivi hawa viongozi wetu peo zao zinafanya kazi sawasawa..?
kuna vitu vinachekesha na kufurahisha!, Nafikiri zama zimebadirika hizi fikra zilikuwa za miaka ya 1990 huko!.
kiongozi unasimama nakusema chama ndo kimefanya utafikiri yeye ndo alitoa hizo hela!, mi sidhani hawa wabunge wanajua hata majukumu yao!.

Kufanya hayo mnayofanya ni wajibu wenu maana kwanza mnalipwa na pili ni pesa ya wananchi so nyinyi ni waajiliwa wetu sisi ndo maboss.
bado unakuja kutapa mbele ya maboss zako!, hawa wameshiba na kuvimbewa tuliendelea kuwaacha ipo siku watatunyoa vipara waanze kutukoa kabisa!.
 
So what..?
Hivi hawa viongozi wetu peo zao zinafanya kazi sawasawa..?
kuna vitu vinachekesha na kufurahisha!, Nafikiri zama zimebadirika hizi fikra zilikuwa za miaka ya 1990 huko!.
kiongozi unasimama nakusema chama ndo kimefanya utafikiri yeye ndo alitoa hizo hela!, mi sidhani hawa wabunge wanajua hata majukumu yao!.

Kufanya hayo mnayofanya ni wajibu wenu maana kwanza mnalipwa na pili ni pesa ya wananchi so nyinyi ni waajiliwa wetu sisi ndo maboss.
bado unakuja kutapa mbele ya maboss zako!, hawa wameshiba na kuvimbewa tuliendelea kuwaacha ipo siku watatunyoa vipara waanze kutukoa kabisa!.
Waitara huyo ni Kitimoto na Bia usimlaumu sana
 
Dunia inabadilika kwa kasi sana lakini sisi tunafikiri kufikia linapoishia tumbo.
 
Atoe mfano ajira gani zimetengenezwa na chama cha mapinduzi ?
Au bodaboda za SSH wanahesabu ni ajira?
CCM hovyo kabisa.
 
Mbona vijana wasio na ajira wakiilalamikia serikali huwa wanasema serikali haitoi ajira kwa wote bali vijana wajiajiri?
 
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema kwa vijana wanaotafuta ajira, ajira zinatengenezwa na Chama cha Mapinduzi.

1744368295122.png
 
Nchi ya kijinga Sana hii....kama mbunge ana Akili ndogo kiasi hiki inakuaje Kwa wananchi wake?
Aisee kuna laana sio bure haiwezezekani kutwa kucha watu wanazungumzia ndoa ya manara kuvunjika huku mambo ya msingi yanapita
 
Back
Top Bottom