Waitara: Mawakala wa CHADEMA walinipigia kura

Waitara: Mawakala wa CHADEMA walinipigia kura

Huyu akili zake zitamrudia uchaguzi wa 2020, atajutia hizi kauli chafu anazozitoa, CCM watamtupa kama hawamjui. Amalizie hiki kipindi kilichobaki na asahau kuhusu ubunge.
Hamnazo kweli nyiez si mlisema hatashinda
 
Msaliti ameshaanza kuweweseka.
Dhambi ya usaliti itamtafuna hadi kaburini
 
Nyuzi kama hizi ndio zinatu sababishia watu kupigwa vifungo JF. (Ban)

Hata kama ulikua huna nia ya kutoa maneno machafu, ila kuna wadudu wanakulazimisha kwa nguvu kweli.[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
kikubwa nilichogundua mwita aliondoka chadema kwa hasira. moyoni bado roho inamuuma...
 
Mashabiki wa chadema mnakazi sana (nasema mashabiki kwa maana nyie sio wanachama wa chadema by registration).

Hivi kushinda mshinde nyie tu ndo uchaguzi unakuwa umeenda sawa? Kubalini kuna sehemu mlitereza mrudi na kuanza upya ili mkubalike. Siasa za longolongo na kutuaminisha uongo saivi hazina mashiko tena. Mtapata tabu sana.

Kazi kubwa ya chama cha siasa ni kushika madaraka na kuongeza wanachama, lakini chadema wao kazi yao kubwa ni kupoteza mwanachama na majimbo kadiri siku zinaenda
 
Back
Top Bottom