Waisraeli halisi ni watu weusi

Waafrika bhana... yaani wao ni Israel na Egypt, BASI!!

Wasiposema babu zao wana asili ya Israel basi watasema walioasisi Misri ni babu zao!!!
 
Halafu tafuta ushahidi mwengine wa hao wa-Izrael wanavyowachukia watu weusi, na laiti km Unawakaria na lugha km iyo wanakukata kibefu mda huo huo, huwahi kumtaja yesu

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
Waisrael wote ni waafrika Na watoto na wajukuu wa Afrika. Kwa sheria za kuzaliwa mtu aliyezaliwa nchi ingine huwa raia wa nchi husika. Waisraeli wazazi wao akina musa nk walizaliwa misri Afrika wakahamia israel.
Kutokana na simulizi za kwenye Torat na Quran, uwepo wa wana wa Israel nchini Misri unaanzia kwa Yusuf alipouzwa nchini Misri baada ya kufanyiwa umafia na kakake! Wakati Yusufu anauzwa Misri bado familia yake yote na Wahebrania wengine hawakuwa Misri!

Baada ya matukio kadhaa kupita ikiwa na la pamoja la Yusuf kutolewa gerezani na hatimae ndugu wa Yusuf (wa damu na asili) kuingia Misri baada ya nchi yao kukumbwa na ukame, ndipo baadae zinapokuja simulizi za Musa kuongoza wana wa Israel kutoka utumwani Misri na kuelekea Kanani!

Miaka takribani 40 ilipita bila wao kuingia Kanani ingawaje walikuwa tayari wameshatoka Misri kitambo! Na katika hiyo miaka, wa-Israel kadhaa walifariki kabla ya kuiona hiyo Kanan, including Mussa mwenyewe!

Sasa kama hoja ni kuzaliwa, kwanini wazazi wao wawe Wa-Israel waliokuwa utumwani Misri na wasiwe kizazi cha wana wa Israel waliokuwa Israel kabla hawajaingia Misri na hatimae kufanywa watumwa?! Au kwanini wazazi wao wawe wa-Israeli waliokuwa utumwani Misri na wasiwe wa-Israel waliokuwa wameshatoka utumwani Misri na kuingia the so called Canan?!
 
Na amini 100% kuwa waisraeli wa kweli kuwa ni weusi baada ya kufanya tafifiti mbalimbali. Kama Holocaust, Zionism , Kabbalah, illuminati, world war I, world war II, na ancient Egypt

Labda niseme mambo machache.
1. Waisrael wakiwa weusi ama weupe hakumfanyi Mungu wetu kua racist.

2. Waisrael kua weupe hakuwafanyi negros kukosa kua na asili moja na adamu na eva pamoja na waisrael.

3. Watoto ambao abraham alihaidiwa kua wengi kama nyota za mbinguni, ni wale wote waliaminio jina lake yesu. Hivyo hakuna myunani wala myahudi, hakuna alietairiwa wala mwenye govi.
Wawez kua muisraeli kiroho hata kama rangi yako ni nyeusi.

4. Tafiti zilizofanyika nyingi ulizoweka hapo kama evidence zinaangukia kwenye pseudo -science. Yaani ni vigumu kuthibitisha kwa kurudisha muda nyuma ili ku prove kama kisemwacho ni kweli
Bado naziona ni conspiracies tu.
 
Mleta mada hajasema waafrika bali amesema ni weusi .. Hii mada ngumu sana kwa wanaopigia goti sanamu la kizungu na zile picha za wazungu ...
 
Labda niseme mambo machache.
1. Waisrael wakiwa weusi ama weupe hakumfanyi Mungu wetu kua racist.

2. Waisrael kua weupe hakuwafanyi negros kukosa kua na asili moja na adamu na eva pamoja na waisrael.

3. Watoto ambao abraham alihaidiwa kua wengi kama nyota za mbinguni, ni wale wote waliaminio jina lake yesu. Hivyo hakuna myunani wala myahudi, hakuna alietairiwa wala mwenye govi.
Wawez kua muisraeli kiroho hata kama rangi yako ni nyeusi.

4. Tafiti zilizofanyika nyingi ulizoweka hapo kama evidence zinaangukia kwenye pseudo -science. Yaani ni vigumu kuthibitisha kwa kurudisha muda nyuma ili ku prove kama kisemwacho ni kweli
Bado naziona ni conspiracies tu.
The entire Christianity is totally masonic. Kwavile umeaminishwa na makanisa yaliyo anzishwa na ma-Zionists ambao wote ni ma-freemasons huwezi kuaminni hili. Dini zenu za kuhubiri utajiri na ufahari wa wanadamu ni fabrications ya ukristo halisi.
 
Wayahudi wa leo ambao ndio wakazi wa sasa inaitwa Israeli siyo wayahudi halasi. Wayahudi hawa ndiyo waanzilishi wa dini ya kumuabudu Lucifer yaani freemasonry na waanzilishi wa uchafu wote uliopo duniani kama ushoga na usagaji ukitaka ku - prove hii nenda youtube ucheki documentary hii Adolf Hitler - The Greatest Story Never Told
 
Hakuna kitu Duniani kinaitwa Middle East!!! sasa middle west iko wapi? hili ni changa la macho tulipigwa! tena mchana kweupeeee! Weusi watu wana upekee wa ajabu sana! hkn wa kufananishwa nao Duniani! ila walimuasi Mungu baaaasi!

Sasa kama kuna mtu mmoja humu anasema eti tunajikomba!! kwa nini wao hao wazungu watake na kutamani Historia ya nchi isiyo wahusu tena kwa kutumia nguvu nyingi Hivi? ..kwani mimi muafrica kujua nilipotoka yaani asili yangu kuna ubaya gani jamani?

Simple tu muafrica jiulize kwa nini wao! wanajikomba kwenye Historia isiyo yao? na Mungu alituhadhalisha kitambo sana ktk kitabu cha ufunuo ''Najua wanaojiita wayahudi .... Msiawaamini! ni Sinagogi la shetani! sasa kuna vishetani viafrica havitaki jua asili yao!

PWiiii nalala mie nimechoka kuongea na vijini!!
 
Watu weusi tupo sub-sahara Africa. Na tunaipenda asili yetu na tunajivunia, acheni utumwa wa kifikra, kipi kizuri kipo huko israel zaidi ya jangwa na vita visivyo isha?
Wanagombea ardhi na warabu.Sipati picha kama warabu wasingevamia nchi za Afrika, mashariki ya kati kungekuwaje misiguano !
Warabu watakwambia makha ndio mji mtakatifu ili uende peponi lazima uende kule nasi waafrika tunaendelea kuwachangia kila mwaka kwenda kuhiji ili tuwe watakatifu.Yaani uende makha tu dhambi zako ziishe???!!! Ukirudi bongo huwezi kuwa na dhambi tena, huu ndio ukoloni tilioachiwa na unalindwa kwa mitutu ya bunduki.
 
Hakuna kitu Duniani kinaitwa Middle East!!! sasa middle west iko wapi? hili ni changa la macho tulipigwa! tena mchana kweupeeee! Weusi watu wana upekee wa ajabu sana! hkn wa kufananishwa nao Duniani! ila walimuasi Mungu baaaasi!

Sasa kama kuna mtu mmoja humu anasema eti tunajikomba!! kwa nini wao hao wazungu watake na kutamani Historia ya nchi isiyo wahusu tena kwa kutumia nguvu nyingi Hivi? ..kwani mimi muafrica kujua nilipotoka yaani asili yangu kuna ubaya gani jamani?

Simple tu muafrica jiulize kwa nini wao! wanajikomba kwenye Historia isiyo yao? na Mungu alituhadhalisha kitambo sana ktk kitabu cha ufunuo ''Najua wanaojiita wayahudi .... Msiawaamini! ni Sinagogi la shetani! sasa kuna vishetani viafrica havitaki jua asili yao!

PWiiii nalala mie nimechoka kuongea na vijini!!
Mkuu unaamini kuwa ulilaniwa? Unaamini zamani ulikuwa mzungu ukabadilshwa ngozi ukawa mweusi? Umewahi kuwasikua Jalawa wa India? Hao nu watu weusi walioenda Kisiwani zaifd ya miaka elfu 35000 uliopita na hawakuwahi ingiliana na jamii yoyote ile.M lilaaniwa miakai ipi mkuu ili nianze Kulinganisha matukio na hao waafrika waliojitenga miaka mingi hata kabla ya habari za kina musa hazijaanza.
 
Waafrika bhana... yaani wao ni Israel na Egypt, BASI!!

Wasiposema babu zao wana asili ya Israel basi watasema walioasisi Misri ni babu zao!!!
Egypt zipo evidence.Hata michoro, huwa hainingii akilini kuamini kuwa mzungu ndio alikuwa Mu Egypt kama vile muafrika kuwa muislael.Egypt ipi Afrika Eslael ipo Asia hivyo ni rahisi na sahihi muafrika kutetea kuwa alikuwa mkazi wa Egypt kuliko kuwa mkazi wa Eslaeli.Istoshe kuna masalia ya waislaeli huko Etheopia mpaka leo ila tuna kuza sana haya mambo japo yana ukweli Fulani. Waafrika tupambane na uchumi mungu katupa ardhi kubwa yenye mito na maxiwa na milima haina haja kuwa kabila lingine linalotanga tanga.
Warabu na waislaeli na wazungu wanatanga tanga sana ndio maana walivamia ardhi za watu.
 
Kutokana na simulizi za kwenye Torat na Quran, uwepo wa wana wa Israel nchini Misri unaanzia kwa Yusuf alipouzwa nchini Misri baada ya kufanyiwa umafia na kakake! Wakati Yusufu anauzwa Misri bado familia yake yote na Wahebrania wengine hawakuwa Misri!

Baada ya matukio kadhaa kupita ikiwa na la pamoja la Yusuf kutolewa gerezani na hatimae ndugu wa Yusuf (wa damu na asili) kuingia Misri baada ya nchi yao kukumbwa na ukame, ndipo baadae zinapokuja simulizi za Musa kuongoza wana wa Israel kutoka utumwani Misri na kuelekea Kanani!

Miaka takribani 40 ilipita bila wao kuingia Kanani ingawaje walikuwa tayari wameshatoka Misri kitambo! Na katika hiyo miaka, wa-Israel kadhaa walifariki kabla ya kuiona hiyo Kanan, including Mussa mwenyewe!

Sasa kama hoja ni kuzaliwa, kwanini wazazi wao wawe Wa-Israel waliokuwa utumwani Misri na wasiwe kizazi cha wana wa Israel waliokuwa Israel kabla hawajaingia Misri na hatimae kufanywa watumwa?! Au kwanini wazazi wao wawe wa-Israeli waliokuwa utumwani Misri na wasiwe wa-Israel waliokuwa wameshatoka utumwani Misri na kuingia the so called Canan?!
Wayahudi au waisrael Walipokuwa wanatumikishwa utumwani kule Misri ya kale , wapo Waisrael(wayahudi) weusi wengi tu waliochoka hayo maisha ya kutumikishwa waliona ni chuki na ujinga tu wa Pharaoh!

ujinga na nachuki hizi za kudhania hawa jamaa wanajidai kuwa wateule wa Mungu wakati wako kwetu Misri! nitwakomesha, na kweli bana likawatumikisha miaka 400, sasa miaka mia nne si padogo! km Misri tu walijaza je hawaja jaza tu Africa nzima?

so kwa hizi chuki baadhi wakasepa zao na mitumbwi kufuata uelekeo wa kusini wa mto Nile wakatawanyika Afrika mashariki na kusini yooote na baadhi wakaishia Uganda mpaka leo wapo wanaitwa Habayudaya, Bururi nk.

Kuna verse ktk Biblia inasema hivi ''From beyond the Rivers of Cush my doughters and my suppliants shall bring my offerings!! ebu ikumbuke hii.. na huyu nabii Isaya alikuwa anaongea akiwa Mashariki ya kati! ya leo!

Wengine wakaenda upande wa pili wa ziwa Victoria ajili ya marisho ya mifugo yao wakaishia Majita, na Bwai Kwa Waruri, kuna kabila linafanana lafudhi na hawa jamaa kule Rwanda na Uganda tena ni wilaya inaitwa Bururi Ditrict , inasemekana ni wamoja hawa jamaa na waruri wa Tanzania mkoani mara!! then Mugango. Mwanza na shinyanga,

Wayahudi wengi walikimbilia Africa kutoka Israel ya kale walipofika Misri tu, wachache walikamatwa tena na wamisri wakarudishwa hukohuko! kwa wayunani walioiteka Israel !! so waka badili route ya kutorokea

kupitia Yemen wakapanda mitumbwi kwenda Africa mashariki ya leo!! ambako walipata fununu kabla kuwa kuna ndg zao walitangulia huko mwanzoni wakitokea Misri na wako salama na ardhi ni kubwa haina watu waende tu watapokelewa bila shida!

Wengine waliangukia mikononi mwa wa Ethiopia wakawa jamii ya watumwa mpaka leo! baadhi yao wakauzwa tena na Mfalme wa Ethipia km watumwa! kuelekea USA na Ulaya!

So wengi wakazidi kutorokea kusini zaidi na zaidi ajili ya kukwepa Udharimu wa watawala waafrica Kaskazini wakorofi! waliokuwa wanawatwaa utumwani tena. for some years wakatulia kidooogo!

Kwani Promised Land imetambaa kutokea MIddle East mpaka usawa wa Mto Nile ambao unatambaa kutoka kwa Wahaya yaani kanda ya ziwa mpaka Misri ya leo then humo humo woote mulioko ndani ya maeneo hayo bado mko ndani ya Promised Land.

Lengo la israel ya weupe ni kutawala maeneo haya yooote! yaliyomo humu ndani ya mito hii!! Kuanzia Uganda Mpaka Syria, ndo maana Netanyahu anapenda kwenda sana Uganda mara kwa mara kutongoza watawala na wana elewana sana Museven.

sababu huyu jamaa Museven kawekwa tu na Miyahudi fake, ili aweke mazingira sawa na hii haijaanza leo wala jana, TZ mko hatiani kuwa koloni la Israel make mumo ndani kwenye Maeneo ya promised Land, amabyo wanitaka.

Hata Kina Vasco dagama walipokuwa wanapita Rasi ya tumani jema walitoa ripoti kuwa wale watu wa Zamani bdado wapo nimewaona Kusini! hapo ndo wakaanza kutalii humu barani kwetu eti wanjifanya wa vumbuzi... daa!!


SASA PENGINE UTAJIULIZA KWA NINI NA WALIWEZAJE KUINGIA MIDDLE EAST YA LEO YAANI PALESTINA KIRAHISI HIVO?
ngoja ninywe maji ntarudi!.....
 
Kwe
Nachokiona ni kuwa baadhi ya watu weusi wanataka kukataa uhalisia wao. Kwani kuwa muisrael kunaongeza nini kwenye maisha yetu.
Au Sisi tukiwa waisrael ndio fikra au maisha yetu yatabadilika?
Hakuna Maana yeyote ya kung'ang'ania uyahudi, kikubwa na cha msingi tubadilishe fikra zetu na tufanye kazi tupate maendeleo,tuache visingizio vya Ajabu

Post sent using JamiiForums mobile app
li mkuu.
 
Mkuu unaamini kuwa ulilaniwa? Unaamini zamani ulikuwa mzungu ukabadilshwa ngozi ukawa mweusi? Umewahi kuwasikua Jalawa wa India? Hao nu watu weusi walioenda Kisiwani zaifd ya miaka elfu 35000 uliopita na hawakuwahi ingiliana na jamii yoyote ile.M lilaaniwa miakai ipi mkuu ili nianze Kulinganisha matukio na hao waafrika waliojitenga miaka mingi hata kabla ya habari za kina musa hazijaanza.
Imeandikwa kuwa Walilaaniwa watangulizi wetu kwa kukiuka agano walilowekeana na Mungu wakapoteza walichopewa kirahisi sana Na Mungu aliwaonya waziwazi tena mara kibao namnukuu '' Mkikiuka Amri zangu, na kuacha Agano langu nitawarudisha Misri kwa Majahazii ''

kumbuka mwanzoni walienda utumwani Misri kwa kutembea wenyewe! hatimaye hao wakaangukia kuwa watumwa miaka 400 kwa jumla yake, si padogo hapo!!! sasa jiulize ni Mtumwa Gani Duniani aliburuzwa kwenye Mitumbwi sijui majahazi kote Duniani? km mtu mweusi? km walikuwa hawa magabachori si wange jaa hapa Afrika mashariki?

kwanza rahisi tu km jeografia imekukaa vizuri na ufaulu mzuri, ni hivi; kutoka hapo Misri tu unachukua zako mtumbwi hata tyre ya gari tuu huyooo!! hadi uganda unashuka zako! unawinda wanyama unakula unaishi! hata ukiamua kupita kando kando tu! na kuwek kambi utafika kirahisi!!

sanduku la agano lilipotea kirahisi mno ndo ukawa mwanzo wa Isael kuanguka tena na kushindwa vibaya vibaya! ktk kila kile walichojaribu kufanya, tulikuwa hatuna historia ya kushindwa vita na Nephilims,sisi.

kina Maccbeese na wengineo ni waafrica hawa!! msome huyu jamaa!! alikomaa mpaka akauawa! akiamini yeye ni yahudi hatari. hawezi salimu amri kirahisi kwa wayunani, damu hii ndo ya kina , mtemi Mkwawa wa tabora, kina Tata Nyarusare wa kamunyonge! Milambo nk

Jalawa pipo,na Malingius tribes wako hapo India tu !! wamewekwa kwa hifadhi maalum wala siyo mbali, na baadhi yao wamechanganyikana na kizalio cha wahindi maarufu km Goa Indian tribe, hawa wamejitenga kwa sababu ni mchanganyiko km unavoona Waraabu, wapemba, s/african coloured nk,

huko kooote Bara Asia waliishi watu weusi ukichanganya na Aboriginal wa Australia ni watu wenye asili ya AFrica kwa lugha yako rahisi utaita ni weusi!! wale watu siyo weusi na hkn mtu mweusi Duniani! funguka.....

Mwafrika km mimi! sisi siyo weusi labda wewe! hatu jawahi kubadilishwa eti sisi kuwa wazungu japo tunazaa wazungu na hatuta badilishwa kamwe! na Afrika ndo kumebarikiwa mali za asili nyiingi Duniani. ndo maana wanajipendekeza mpaka kesho kuja humu!
 
Egypt zipo evidence.Hata michoro, huwa hainingii akilini kuamini kuwa mzungu ndio alikuwa Mu Egypt kama vile muafrika kuwa muislael.Egypt ipi Afrika Eslael ipo Asia hivyo ni rahisi na sahihi muafrika kutetea kuwa alikuwa mkazi wa Egypt kuliko kuwa mkazi wa Eslaeli.Istoshe kuna masalia ya waislaeli huko Etheopia mpaka leo ila tuna kuza sana haya mambo japo yana ukweli Fulani. Waafrika tupambane na uchumi mungu katupa ardhi kubwa yenye mito na maxiwa na milima haina haja kuwa kabila lingine linalotanga tanga.
Warabu na waislaeli na wazungu wanatanga tanga sana ndio maana walivamia ardhi za watu.
Kwani Egypt kama sio Waafrika lazima wawe wazungu? Yaani kama duniani kuna race mbili tu, wazungu na Waafrika?

Hata hivyo ni upumbavu kutafuta pride kwenye mambo yaliyopita maelfu ya miaka ambayo hata ishahidi wa moja kwa moja haupo
Tafuta pride kwenye Mambo ya sasa kama kweli wewe ni superior
 
fanyeni kazi kwa bidii hadi waisrael waseme babu zao ni watanzania na wadai walitokea kwa mkwawa.
 
Back
Top Bottom