Kutokana na simulizi za kwenye Torat na Quran, uwepo wa wana wa Israel nchini Misri unaanzia kwa Yusuf alipouzwa nchini Misri baada ya kufanyiwa umafia na kakake! Wakati Yusufu anauzwa Misri bado familia yake yote na Wahebrania wengine hawakuwa Misri!Waisrael wote ni waafrika Na watoto na wajukuu wa Afrika. Kwa sheria za kuzaliwa mtu aliyezaliwa nchi ingine huwa raia wa nchi husika. Waisraeli wazazi wao akina musa nk walizaliwa misri Afrika wakahamia israel.
Na amini 100% kuwa waisraeli wa kweli kuwa ni weusi baada ya kufanya tafifiti mbalimbali. Kama Holocaust, Zionism , Kabbalah, illuminati, world war I, world war II, na ancient Egypt
The entire Christianity is totally masonic. Kwavile umeaminishwa na makanisa yaliyo anzishwa na ma-Zionists ambao wote ni ma-freemasons huwezi kuaminni hili. Dini zenu za kuhubiri utajiri na ufahari wa wanadamu ni fabrications ya ukristo halisi.Labda niseme mambo machache.
1. Waisrael wakiwa weusi ama weupe hakumfanyi Mungu wetu kua racist.
2. Waisrael kua weupe hakuwafanyi negros kukosa kua na asili moja na adamu na eva pamoja na waisrael.
3. Watoto ambao abraham alihaidiwa kua wengi kama nyota za mbinguni, ni wale wote waliaminio jina lake yesu. Hivyo hakuna myunani wala myahudi, hakuna alietairiwa wala mwenye govi.
Wawez kua muisraeli kiroho hata kama rangi yako ni nyeusi.
4. Tafiti zilizofanyika nyingi ulizoweka hapo kama evidence zinaangukia kwenye pseudo -science. Yaani ni vigumu kuthibitisha kwa kurudisha muda nyuma ili ku prove kama kisemwacho ni kweli
Bado naziona ni conspiracies tu.
HUO NI UKWELI MKUU,ILITAKA WALIODIZAIN ELIMUWaafrika bhana... yaani wao ni Israel na Egypt, BASI!!
Wasiposema babu zao wana asili ya Israel basi watasema walioasisi Misri ni babu zao!!!
Wanagombea ardhi na warabu.Sipati picha kama warabu wasingevamia nchi za Afrika, mashariki ya kati kungekuwaje misiguano !Watu weusi tupo sub-sahara Africa. Na tunaipenda asili yetu na tunajivunia, acheni utumwa wa kifikra, kipi kizuri kipo huko israel zaidi ya jangwa na vita visivyo isha?
Mkuu unaamini kuwa ulilaniwa? Unaamini zamani ulikuwa mzungu ukabadilshwa ngozi ukawa mweusi? Umewahi kuwasikua Jalawa wa India? Hao nu watu weusi walioenda Kisiwani zaifd ya miaka elfu 35000 uliopita na hawakuwahi ingiliana na jamii yoyote ile.M lilaaniwa miakai ipi mkuu ili nianze Kulinganisha matukio na hao waafrika waliojitenga miaka mingi hata kabla ya habari za kina musa hazijaanza.Hakuna kitu Duniani kinaitwa Middle East!!! sasa middle west iko wapi? hili ni changa la macho tulipigwa! tena mchana kweupeeee! Weusi watu wana upekee wa ajabu sana! hkn wa kufananishwa nao Duniani! ila walimuasi Mungu baaaasi!
Sasa kama kuna mtu mmoja humu anasema eti tunajikomba!! kwa nini wao hao wazungu watake na kutamani Historia ya nchi isiyo wahusu tena kwa kutumia nguvu nyingi Hivi? ..kwani mimi muafrica kujua nilipotoka yaani asili yangu kuna ubaya gani jamani?
Simple tu muafrica jiulize kwa nini wao! wanajikomba kwenye Historia isiyo yao? na Mungu alituhadhalisha kitambo sana ktk kitabu cha ufunuo ''Najua wanaojiita wayahudi .... Msiawaamini! ni Sinagogi la shetani! sasa kuna vishetani viafrica havitaki jua asili yao!
PWiiii nalala mie nimechoka kuongea na vijini!!
Egypt zipo evidence.Hata michoro, huwa hainingii akilini kuamini kuwa mzungu ndio alikuwa Mu Egypt kama vile muafrika kuwa muislael.Egypt ipi Afrika Eslael ipo Asia hivyo ni rahisi na sahihi muafrika kutetea kuwa alikuwa mkazi wa Egypt kuliko kuwa mkazi wa Eslaeli.Istoshe kuna masalia ya waislaeli huko Etheopia mpaka leo ila tuna kuza sana haya mambo japo yana ukweli Fulani. Waafrika tupambane na uchumi mungu katupa ardhi kubwa yenye mito na maxiwa na milima haina haja kuwa kabila lingine linalotanga tanga.Waafrika bhana... yaani wao ni Israel na Egypt, BASI!!
Wasiposema babu zao wana asili ya Israel basi watasema walioasisi Misri ni babu zao!!!
Wayahudi au waisrael Walipokuwa wanatumikishwa utumwani kule Misri ya kale , wapo Waisrael(wayahudi) weusi wengi tu waliochoka hayo maisha ya kutumikishwa waliona ni chuki na ujinga tu wa Pharaoh!Kutokana na simulizi za kwenye Torat na Quran, uwepo wa wana wa Israel nchini Misri unaanzia kwa Yusuf alipouzwa nchini Misri baada ya kufanyiwa umafia na kakake! Wakati Yusufu anauzwa Misri bado familia yake yote na Wahebrania wengine hawakuwa Misri!
Baada ya matukio kadhaa kupita ikiwa na la pamoja la Yusuf kutolewa gerezani na hatimae ndugu wa Yusuf (wa damu na asili) kuingia Misri baada ya nchi yao kukumbwa na ukame, ndipo baadae zinapokuja simulizi za Musa kuongoza wana wa Israel kutoka utumwani Misri na kuelekea Kanani!
Miaka takribani 40 ilipita bila wao kuingia Kanani ingawaje walikuwa tayari wameshatoka Misri kitambo! Na katika hiyo miaka, wa-Israel kadhaa walifariki kabla ya kuiona hiyo Kanan, including Mussa mwenyewe!
Sasa kama hoja ni kuzaliwa, kwanini wazazi wao wawe Wa-Israel waliokuwa utumwani Misri na wasiwe kizazi cha wana wa Israel waliokuwa Israel kabla hawajaingia Misri na hatimae kufanywa watumwa?! Au kwanini wazazi wao wawe wa-Israeli waliokuwa utumwani Misri na wasiwe wa-Israel waliokuwa wameshatoka utumwani Misri na kuingia the so called Canan?!
li mkuu.Nachokiona ni kuwa baadhi ya watu weusi wanataka kukataa uhalisia wao. Kwani kuwa muisrael kunaongeza nini kwenye maisha yetu.
Au Sisi tukiwa waisrael ndio fikra au maisha yetu yatabadilika?
Hakuna Maana yeyote ya kung'ang'ania uyahudi, kikubwa na cha msingi tubadilishe fikra zetu na tufanye kazi tupate maendeleo,tuache visingizio vya Ajabu
Post sent using JamiiForums mobile app
Imeandikwa kuwa Walilaaniwa watangulizi wetu kwa kukiuka agano walilowekeana na Mungu wakapoteza walichopewa kirahisi sana Na Mungu aliwaonya waziwazi tena mara kibao namnukuu '' Mkikiuka Amri zangu, na kuacha Agano langu nitawarudisha Misri kwa Majahazii ''Mkuu unaamini kuwa ulilaniwa? Unaamini zamani ulikuwa mzungu ukabadilshwa ngozi ukawa mweusi? Umewahi kuwasikua Jalawa wa India? Hao nu watu weusi walioenda Kisiwani zaifd ya miaka elfu 35000 uliopita na hawakuwahi ingiliana na jamii yoyote ile.M lilaaniwa miakai ipi mkuu ili nianze Kulinganisha matukio na hao waafrika waliojitenga miaka mingi hata kabla ya habari za kina musa hazijaanza.
Kwani Egypt kama sio Waafrika lazima wawe wazungu? Yaani kama duniani kuna race mbili tu, wazungu na Waafrika?Egypt zipo evidence.Hata michoro, huwa hainingii akilini kuamini kuwa mzungu ndio alikuwa Mu Egypt kama vile muafrika kuwa muislael.Egypt ipi Afrika Eslael ipo Asia hivyo ni rahisi na sahihi muafrika kutetea kuwa alikuwa mkazi wa Egypt kuliko kuwa mkazi wa Eslaeli.Istoshe kuna masalia ya waislaeli huko Etheopia mpaka leo ila tuna kuza sana haya mambo japo yana ukweli Fulani. Waafrika tupambane na uchumi mungu katupa ardhi kubwa yenye mito na maxiwa na milima haina haja kuwa kabila lingine linalotanga tanga.
Warabu na waislaeli na wazungu wanatanga tanga sana ndio maana walivamia ardhi za watu.