SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,367
Aaah wapi umekariri Aljazeera,CNN,BBC,MSNBC,NBC,liberal medias zote zilikuwa zina sympathise na Palestinians.Ukiachana na vyakwao wazayuni, Cnn, BBC, NBC na vingi tu takriban vyote vya magharibi ispokua RT ya u
Urusi ilikua kidogo inabalance na TV za Ireland ndio zinasupport Palestina kwa sababu Ireland ndio nchi pekee Ulaya inayoisupport Palestina
Ukitaka kujua ninachokwambia ingia youtube search habari zao kipindi cha vita utaona mwenyewe.
tatizo mnakariri sana badala ya kufuatilia the actual facts .Meadia zote hizo huwa zinarusha habri zinazouza zaidi,waki sympathize na Israel wanajua hawawezi uza.
Ingia youtube utaona.