LaRosa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2020
- 952
- 2,875
Wale jamaa wako very organized and smart, Wakati hii Vita na Hamas kuwa inaendelea waisrael wote walioko Duniani wakataka kurudi nyumbani kwao ili wasaidie nchi yao coz almost wote ni wanajeshi wa level ya juu, wasomi, matajiri e.t.c ndege nyingi zilicancel flight ya kwenda Tel Aviv sababu ya mabomu ya Hamas yalitanda anga.
Israel wakaamua kutuma ndege zao ziende kwenye kila sehemu walioko wa Israel na kuwapeleka nyumbani hivyo hivyo wakati anga limejaa mabomu. Wana ndege zao hizo kubwa za mizigo na abiria Zina uwezo wa kukwepa medium range rockets na kutua safely. Nyie Hawa watu siwaelewi mimi.
Haitoshi jamaa nchi yao ina Vita lakini Hawa jamaa wanagombania kurudi home wakaidefend na kuitetea Israel.
That's attitude and mentality sio ya Dunia hii.
Israel wakaamua kutuma ndege zao ziende kwenye kila sehemu walioko wa Israel na kuwapeleka nyumbani hivyo hivyo wakati anga limejaa mabomu. Wana ndege zao hizo kubwa za mizigo na abiria Zina uwezo wa kukwepa medium range rockets na kutua safely. Nyie Hawa watu siwaelewi mimi.
Haitoshi jamaa nchi yao ina Vita lakini Hawa jamaa wanagombania kurudi home wakaidefend na kuitetea Israel.
That's attitude and mentality sio ya Dunia hii.