patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 568
Kwa hali iliyopo sasa hivi maandamano hayo yaahirishwe..haitakuwa vizuri hata kidogo na wala hayataweza kushuhudiwa na wananchi wengi...Tuzike kwanza ndugu zetu kisha mengineyo yatafuata...
Acha wafu wazike wafu wenzao kwanza mkuu!