Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,543
- 9,166
Quran ni kitabu kilichokamilika na hakina mashaka ndani yake
1. Issa alizaliwa chini ya mtende. Wapi?
Quran 19:22 - 23 Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa
2. Wafuasi wa Issa walikuwa wangapi?
Quran 5:112 Wanafunzi walipo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Je, Mola wako Mlezi anaweza kututeremshia chakula kutoka mbinguni? Akasema: Mcheni Mwenyezi Mungu ikiwa nyinyi ni Waumini
3. Nitajie majina ya wafuasi wa Issa?
Quran 3:52 Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu
4. Kwanini waislamu bado wanafanya mayahudi kuwa marafiki zao?
Quran 5:51 Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Waislamu wana manabii zaidi ya 12 mayahudi (nimeandika kama ilivyo kwenye Quran na waislamu wanavyosema). Je, Waislamu wameenda kinyume na Quran kama inavyosema?
Hawa ndiyo manabii mayahudi (nimeandika kama waislamu wanavyosema na kuandika)
Katika Uislamu, manabii wengi wa Kiyahudi wametajwa kwenye Quran na Hadith. Hawa ni baadhi ya manabii wa Kiyahudi waliopo kwenye Uislamu.
1. Nabii Idris
2. Nabii Noah
3. Nabii Hud
4. Nabii Saleh
5. Nabii Ibrahim
6. Nabii Ismail
7. Nabii Isaac
8. Nabii Jacob
9. Nabii Yusuf
10. Nabii Musa
11. Nabii Harun
12. Nabii Dawud
13. Nabii Suleiman
14. Nabii Elijah
15. Nabii Elisha
16. Nabii Yunus
17. Nabii Zakaria
18. Nabii Yahya
19. Nabii Issa
N.B
Moderator usiunganishe huu uzi na uzi mwingine
1. Issa alizaliwa chini ya mtende. Wapi?
Quran 19:22 - 23 Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa
2. Wafuasi wa Issa walikuwa wangapi?
Quran 5:112 Wanafunzi walipo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Je, Mola wako Mlezi anaweza kututeremshia chakula kutoka mbinguni? Akasema: Mcheni Mwenyezi Mungu ikiwa nyinyi ni Waumini
3. Nitajie majina ya wafuasi wa Issa?
Quran 3:52 Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu
4. Kwanini waislamu bado wanafanya mayahudi kuwa marafiki zao?
Quran 5:51 Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Waislamu wana manabii zaidi ya 12 mayahudi (nimeandika kama ilivyo kwenye Quran na waislamu wanavyosema). Je, Waislamu wameenda kinyume na Quran kama inavyosema?
Hawa ndiyo manabii mayahudi (nimeandika kama waislamu wanavyosema na kuandika)
Katika Uislamu, manabii wengi wa Kiyahudi wametajwa kwenye Quran na Hadith. Hawa ni baadhi ya manabii wa Kiyahudi waliopo kwenye Uislamu.
1. Nabii Idris
2. Nabii Noah
3. Nabii Hud
4. Nabii Saleh
5. Nabii Ibrahim
6. Nabii Ismail
7. Nabii Isaac
8. Nabii Jacob
9. Nabii Yusuf
10. Nabii Musa
11. Nabii Harun
12. Nabii Dawud
13. Nabii Suleiman
14. Nabii Elijah
15. Nabii Elisha
16. Nabii Yunus
17. Nabii Zakaria
18. Nabii Yahya
19. Nabii Issa
N.B
Moderator usiunganishe huu uzi na uzi mwingine