Waislam mnasemaje kuhusu kuacha kushikana mikono baada ya swala Msikitini?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,309
12,604
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?
 
Binafsi naona ni jambo bora sana tusishikane mikono.

Tena ikienea korona Tanzania kama nchi za italy na china sioni tatizo na ningekuwa kiongozi wa kiislamu ningepinga stop kusali sala za mkusanyiko na za ijumaa.

Kila Mtu angesalia kwake kwa sababu hata nyumbani Mungu anakuona pia.

Na kushikana mikono msikitini ni mila tu za watu ambazo ikiwa hazina maana na athari mbaya basi inafaa kwa kuwa hakuna uharibifu wowote na madhara.

Kushikana mikono baada ya sala sio agizo la dini ni tamaduni tu nzuri ambazo hazikatazwi na uislamu maadamu hazina madhara kwa watu na kwa dini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa sishikani na mtu mkono baada ya swala ya Ijumaa, japo kuna wale huwa wanalazimisha kama vile asipokupa mkono swala yake haihesabiki basi huwa nampa mkono ukiwa kwenye juba kwa hiyo hatushikani ngozi kwa ngozi,

Hata hivyo kwa Corona hii naswalia nyumbani Aljumaa.
 
Mimi hua sishikani na mtu mkono baada ya swala ya Ijumaa, japo kuna wale hua wanalazimisha kama vile asipokupa mkono swala yake haihesabiki basi hua nampa mkono ukiwa kwenye juba kwa hiyo hatushikani ngozi kwa ngozi,
Hata hivyo kwa Corona hii naswalia nyumbani Aljumaa.
Nikikupa mkono unipe kupitia juba lako sikupokelei, pili corona haiambukizi tu kwa kushikana mkono ila utaipata pale tu ule mkono haujauosha na sabuni alafu ukajikuna machoni au ukala kitu, au puani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikikupa mkono unipe kupitia juba lako sikupokelei, pili corona haiambukizi tu kwa kushikana mkono ila utaipata pale tu ule mkono haujauosha na sabuni alafu ukajikuna machoni au ukala kitu, au puani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema siwapi mkono sababu ya Corona, kutokupeana mikono ni utaratibu wangu nimejiwekea enzi na enzi,
Nimesema sababu ya huu mlipuko wa Corona basi hata Ijumaa siendi kuswali msikitini naswalia nyumbani,

*kama wewe ni mwanaume ndio sahau kabisaaa mimi kukupa mkono hata huo wa kwenye juba*
 
Allah kaleta corona kudhihirisha ukweli ni upi na uongo ni upi

Ukweli ni kuwa ukivaa hijab ukijifunika uso
Huna haja ya kuvaa mask ,imedhihirika huko ulaya Hijab sio vazi la kukataza
Masikiniii bado huu ujinga mnaendelea nao tu?
Unajua tofauti ya Hijab na Niqabu?
Tangu lini hijab ikafunika uso?

Ukweli ni kuwa ukishika udhu au kunawa mara tano Kwa siku, unajilinda na maambukizi tele,na msikitini hawaingii wala virusi vya popo na nguruwe
Aliyekudanganya kunawa tu kunazuia covid-19 nani?
Huko miskitini huwa mnatumia sabuni kunawa?

Uongo ni huu, kuna story Yesu alipigwa busu na yule aliemsaliti, hii story ukiileta Kwenye context ya sasa ya corona, yule aliembusu yesu angemuambukiza yesu corona so yesu angekufa Kwa corona ,na sio msalabani, hii inadhihirisha tukio la msalabani ni uongo

I love You Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
See this idiot.
Mko na wrong information sana nyinyi waislamu.
Unaweza kukaa na mtu mwenye Corona 2 meters from you na usiipate hata akikohoa au kutema mate kwa sababu Corona haiishi kwenye hewa inaishi kwenye mikono acheni ujinga hiyo kuvaa mask ni further prevention tu.
Story ya kweli kuwa Yesu hakupigwa na kufa msalabani tunaipata wapi?
 
Hehe kila siku mnakuja na simulizi mpya ile ya Allah kutuma corona ili kuwaadhibu wachina kisa wanawatesa waislamu wenzenu wa uighur naona imeshaeksipaya maana huyo corona mwenyewe katimba hadi huko Jangwani kwa aliemtuma
Na msikiti wao wa HARAM umefungwa tayari
 
Mungu wao feki ndiyo maana Saudia name Italy corona tupu. Ila Mungu wa watu weusi kiboko. Scheming kuchezea peas Oohooo hija photo vatcan mara Papa. Haaaaaaa No church no Mosque No Corona. Black man Born Great

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polite, Sijawahi ona msikitini kukiwa na sabuni wala disinfectant ,punguza ushangazi unamaana na wanaume nao wangevaa majuba ama,kama ni ivyo mbona uko uarabuni napo umetinga, acha ushabiki maandazi kitu cha corona sio cha kuki under estimate shukuru Africa hakijatake over

Sent using Jamii Forums mobile app
Misikiti mingi sana siku hizi kuna sabuni. Tena mingi sana. Huyo jamaa yako hana ajualo
 
Hio ilikua observation ya corana kabla haija expand kutoka China, hio iliprove watu waliokua wanatakiwa kuwekwa kwenye camps ni watu wa wuhan, hao uighur sio tishio kwa china

Chukua hii observation nyingine


Tumeshuhudia waafrika wakifa huko libya baharini kukimbilia ulaya for the sake Of life wakikimbia umaskini uliopo African

Europe and US did nothing for Africans kuwafanya hawa watu waendelee kubaki Africa na uwezo walikua nao

Leo corona ,Europe and Us wanatumia zaidi 100 trillions kupambana na corona
Maana uhai wa waafrica hauna thamani

Bas hata kuiondelea Zimbabwe vikwazo wamegoma na Mugabe tushamzika

Corona imewaumbua na ubinafsi wao

I love You corona




Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivo mengine mnamezea tu sio kujitungia stori za ajabu ajabu tu
 
Moja ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa korona ni kuacha kushikana mikono. Waislam wana tabia ya kushikana mikono baada ya kumalizika kwa swala.

Je, inaswihi kuacha kushikana mikono baada ya swala ya jamaa?

Je, kushikana mikono baada ya swala ni agizo la dini au khiari tu ya muumini?

Mufti anasemaje kuhusu waislamu kupeana mikono?
Sasa wewe unauliza kuhusu kuacha kushikana mikono,wakata ibada kubwa ya ummra imesitishwa kwa baadhi ya nchi kwa ajili ya kuchukua tahadhari.

So ibada zingine zitaendelea kama kawaida na tahadhari itachukuliwa kadri inavyo wezekana Pasi na kuvuka mipaka.
 
Back
Top Bottom