Waijua chai maharage wewe?

Waijua chai maharage wewe?

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
1469907_10202592097022541_2098500717_n.jpg
 
Hata dar zilikuwepo lkn waonekana bado ulikuwa hujaja dar upo mikoani,lkn zilikuwepo sana tu
 
Kia left handdrive zimeua sana hizo mwanzoni
 
Nilizitumua sana Isuzu Moshi-Arusha zilitumia kama masaa matutu! Duuh! kitambo.
 
Dah...umenikumbusha mbali sana enzi hizo mzee wangu anamiliki hii kitu kwenda vijijin dah...jaman...spika za mziki ilikua sufuria imekatwa nakuwekwa juu...nakupigwa kanda za..... sauti ikatoka huyu ni .......
 
Back
Top Bottom