Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 260
Kichwa cha uzi ndicho kinachosema ukweli....Naona kichwa cha uzi chaonyesha ni wewe ndo wife anakulazimisha kula TIGO, lakini kwenye uzi wenyewe unasema rafikiyo, tuelewe vipi sasa?????????????
Kichwa cha uzi ndicho kinachosema ukweli....Naona kichwa cha uzi chaonyesha ni wewe ndo wife anakulazimisha kula TIGO, lakini kwenye uzi wenyewe unasema rafikiyo, tuelewe vipi sasa?????????????
Kichwa cha uzi ndicho kinachosema ukweli.
Hasaa hilo ndiyo jibu sahihi. Huyo kashaliwa na vijana nje. Au Jamaa kabla hajamuoa huyo mwanamke huo ndiyo ulikuwa mchezo wake.Jmaa kabeba bomu ndani ya nyumba. Hapo ndoa hakuna.Mwambie huyo rafikio kuwa mkewe kesha fanya nje sasa anatata afanye na ndani. Kama mwanaume hataki kwa nini asianze kushitaki kwa wakwe kwanza?