mpaka hapo kesha kula kwasababu aliambiwa atasemewa kwa wazazi na inaonyesha hajasemewa, inaonyesha anaipenda anatafuta justification tu, kama angekuwa hataki angeonyesha kwa vitendo yaani kuwa mkari na kukemea kwa nguvu zoteWana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi Kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk
Hilo ni janga, Kama imani yake hai ruhusu ufanyaji wa mapenzi ya kinyume na maumbile aithubutu kufanya ivyo, kwani ataitesa sana nafsi yake na kua chukizo pia kwa anae muamini.
Ivi kwanini tigo na sio voda ama zantel
mkuu sijawahi sikia imani inayo ruhusu, hapo ni akili yake tu, na msimamo sio sitaki na taka
Mkuu, kuna imani zina ruhusu ufanyaji wa mapenzi ya Kinyume na maumbile pia hata mapenzi ya jinsia moja, mfano wake satanic church lilo kua lina ongozwa na Antony. Au kama utabahatika kasome satanic bible utaona yaliyomo mle, kwaiyo huwezi juu imanii ya mtu humu JF tupo wengi bwana
Wana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. Leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile.
Maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk
Yule jamaa anaitwa Ritz ni ndugu yako?
Naona majina yenu yanafanana....
Wana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. Leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile.
Maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk
Hili nalo ni la kuuliza mkuu?so childish kwa kweli...,guts za kuanza kulazimisha kazitoa wapi?aaah i dont understand kwa kweli.Sorry!!!
Wana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. Leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile.
Maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk