Wahuni: They have done so much demage. Taifa limefubaa

Wahuni: They have done so much demage. Taifa limefubaa

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,793
Reaction score
6,411
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".
 
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".
Tujitahidi kutafuta facts na tatizo halisi, haya mambo ya fitna na uongo hayasaidii taifa. Hakuna upande ndani ya ccm usio panga na kuandaa wagombea ktk uchaguzi sio kina Polepole wala wanao itwa mtandao. Matatizo ya elimu yapo tu miaka mingi na wala si swala swala la Tz pekee, pattern yake inafanana Africa nzima.

Kuhusu madawa ya kulevya taarifa hio hapo chini unayotaka. Tuwe objective ktk issues, hii ya kujadili watu haitosaidia, tulikomaa na Lowasa kwa kila ubaya mpaka Mzee wa watu kaondoka! Na mkasafisha ktk mazishi yake, sasa mnatafuta mchawi mpya?

 
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".

Wahuni si watu wazuri. Mashimoni walimo rungu na ipulizwe relentlessly.

Huihui21, shiembe, sandrano:

Au nasema uongo!
 
Kasomeni kisa cha Dr. Salim A Salim kuitwa Hizbollah, mtajua tabia halisi za hao mnaoita wahuni.
Aliiambiwa na mafungamano na kikundi cha Tahrir Hizb chenye uhusiano na Al Queda kisa aligombea urais !
 
Sio kila kitu ni kibaya kwa upande wa wahuni, wahuni wamejitahidi kufungua milango ya kiuchumi
 
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".
Ewe Mungu Wetu, Tuma Roho wako, Afanye Upya Uso wa Nchi Kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025” (Zaburi 104:30)
 
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".
Taifa limefubaa au limeoza kabisa🤣
 
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".
KATAA WAHUNI, OKOA TANGANYIKA.✍️📌
 
Aliiambiwa na mafungamano na kikundi cha Tahrir Hizb chenye uhusiano na Al Queda kisa aligombea urais !
Ni hatari sana. Jiulize kati ya Dr Salim, na hawa wahuni, nani alifaa kuitwa gaidi/al qaeda?!
Ni watu hatari mno mno.
 
Taifa limeoza mkuu

Hao kina jk na rostam ni kansa
Mizizi yao ni mingi sana. Wana mipango ya miaka 30+ mbele.

Wakisukuma kete moja, jua kuna kete tatu pembeni ni za kwao pia.

Unaweza kuikataa hiyo, ukavuta ya pili, kumbe ni ya kwao pia.
 
Taifa limefubaa au limeoza kabisa🤣
Ni kitu gani Tz tunajivunia mbele ya mataifa mengine saivi?!
Tumegeuka kituko. Magenge ya kuua watu wetu wenyewe, na hakuna anayewajibika.
Si uchumi, si usalama. Kote tupo ovyo.
 
Sio kila kitu ni kibaya kwa upande wa wahuni, wahuni wamejitahidi kufungua milango ya kiuchumi
Hii ni mbinu yao, ungeona kipande wanachochota, na wanachokufungulia! Wala usingeandika hivi.

Hata uchumi wako uwe vipi, siku ukikuta rasilimali zako, si zako, wewe ni mateka tu ktk nchi yako.
 
Back
Top Bottom