Wahuni: They have done so much demage. Taifa limefubaa

Wahuni: They have done so much demage. Taifa limefubaa

Kama wana mkono hata kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama! Basi tutulie wafanye watakavyo.
Tumngoje Mungu wa Mbinguni tu.
 
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.
Hapa umekosea sana. Juzi tu wamekamata watu 5 waliingiza madawa tani 11 kupitia ICD moja ya Temeke hapo. Kuna wafanyabiashara wa Masaki na Kinondoni.
 
Hii ni mbinu yao, ungeona kipande wanachochota, na wanachokufungulia! Wala usingeandika hivi.

Hata uchumi wako uwe vipi, siku ukikuta rasilimali zako, si zako, wewe ni mateka tu ktk nchi yako.
Okay wahusika watake good actions resources zitumike kwa wananchi wote, na kuwajengea wa TZ uwezo wa kumiliki uchumi wao wenyewe.
 
Octoba TUNATIKI kama kawaida.
Nyie endeleeni kupoteza muda wa kuchafua.
 
Igwe Watanzania.

Si vita kwa sababu, hao wanaoitwa "wahuni" walishashinda kitambo sana.

Madhara waliyowisha kusababisha kwa nchi, hayawezi kurekebishika hata upewe miaka 10.

Wamejikusanyia mafedha kutoka deals za nchi yetu, wameshika vyombo vya dollar, wameweka watu wao kwenye vyombo vya maamuzi, mitandao nyeti.

Wanafanya biashara yoyote, tenq nyingi zikiwa chafu na wanalindwa na kusaidiwa na wazuiaji/walinzi wetu.
Nikupe mfano (ndani ya miaka miwili, nipe habari yoyote ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya Tz). Hakuna. Zaidi ya kuchoma mashamba ya bangi.

Wanamchafua yeyote ambae ni kizingiti.
Kifo kwao ni 'kifo' tu.

Ni ma agent wa mikono ya nje.

Wame engineer elimu mbovu Tanzania, kuzalisha mazuzu na mazezeta. Wamefanikiwa.

Kuna mengi vijana wa sasa hawayajui. Hata Polepole peke yake hawawezi.

Hata wenye "mofu" hao unaweza kuta ni mateka.

Hatuwezi kufanya vita na wahuni. Labda iwe kujitoa MUHANGA.

Ushauri wa MALCOM LUMUMBA ufanyiwe kazi.

"It does not need just a cosmetic, it needs a total surgery".
Hakika inasikitisha,tuamke hata sasa wananchi,jinai haifi.
 
Kwahiyo makonda naye yupo timu wahuni? nayeye washamuingiza kwenye mfumo? Kweli wahuni sio watu wazuri
 
Sio kila kitu ni kibaya kwa upande wa wahuni, wahuni wamejitahidi kufungua milango ya kiuchumi
Jinga Sana wewe, unaambulia makombo na bado ukiumwa kaswende unaambiwa dawa hospitali hakuna
 
Mkuu ushauri upi amabo, kama hutojali ni tag kwenye huo uzi wa ushauri wa MALCOM LUMUMBA
 
Back
Top Bottom