Wanatafutwa wahudumu 4 wa Bar iliyoko Kigoma Mjini!
Sifa za muhudumu!
,1. Awe na Lugha nzuri kwa Wateja
2. Awe na juhudi katika kazi
3. Awe tayar kuishi katika hostel ya mmiliki wa bar kuepusha usumbufu
4. Awe anatokea mkoa wowote ndani ya tanzania
5. Usafiri mpaka kigoma itakuwa juu ya mmiliki wa bar!
6. Awe tayar kufuata mkataba/mikataba na ikiwezekana kuiwasilisha katika ngazi za serikali kwa ajili ya usimamizi wa kisheria
7. Awe tayar kuwasiliana na kutoa taarifa zake kama picha na kiasi cha mshahara atakacho hitaji
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0762298230.
Wanahitajika haraka iwezekanavyo, na kwa yeyote anaye faham pia wanapopatikana anaweza wasiliana kwa namba hiyo ili kufanya utaratibu wa kuwapata au kuwafikia kwa makubaliano zaidi
Ahsanteni
Sifa za muhudumu!
,1. Awe na Lugha nzuri kwa Wateja
2. Awe na juhudi katika kazi
3. Awe tayar kuishi katika hostel ya mmiliki wa bar kuepusha usumbufu
4. Awe anatokea mkoa wowote ndani ya tanzania
5. Usafiri mpaka kigoma itakuwa juu ya mmiliki wa bar!
6. Awe tayar kufuata mkataba/mikataba na ikiwezekana kuiwasilisha katika ngazi za serikali kwa ajili ya usimamizi wa kisheria
7. Awe tayar kuwasiliana na kutoa taarifa zake kama picha na kiasi cha mshahara atakacho hitaji
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0762298230.
Wanahitajika haraka iwezekanavyo, na kwa yeyote anaye faham pia wanapopatikana anaweza wasiliana kwa namba hiyo ili kufanya utaratibu wa kuwapata au kuwafikia kwa makubaliano zaidi
Ahsanteni